Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,153
- 10,394
Wewe umeota kuwa leo tunaanzisha tournament umeamua kuleta hicho kisingizio 😂Nilimpa Account ya Selikavu mara ya kwanza😃😃
Jana ndo nikamwambia aachane na selikavu nampa yangu kubwa😃😃😃
Sasa hujaelewa nn hapo kaka🤣🤣
Mimi siwezi kukukimbia😃😃