Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,415
- 27,295
Basi ile message yangu ya ufafanuzi hukuielewa kakaHapo mechi si 5 tu kwa kila mtu, ikianza J3 mpaka J2 inakuwa imeisha.
Timu zipo sita
Tunacheza mfumo wa league mwanzo
KIla mtu atacheza mechi tatu mwanzoni
Yan mechi moja moja dhidi ya watu watatu...
Then league inaishia hapo tunaenda playoffs
Waliokuwa nafasi ya kwanza na ya pili wanafuzu moja kwa moja Nusu Fainal
Mtu wa tatu mpaka wa sita watcheza playoffs
Watapatikana wawili ambao watakuja kuungana na mtu wa kwanza na wa wapili itapigwa nusu fainal then Fainali league imeisha kaka