Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,415
- 27,295
Kwa sasa Active members ni hao😃😃😃
Kwa sasa Active members ni hao😃😃😃
Kama kuna wengine wapo active wanapita kimya kimya. Na wenyewe wadme tuwaongezeMpaka saivi tupo live Razorblade unashikilia mkia mkuu 😂😂😂
kuna anaeongezeka?? 😁
View attachment 3423151
Wakuu hizi zigeuke Pre season zichezwe week hii mnaonaje hiloTuendelee kukaza vidole 😃
Fixtures hizi hapa
Edo kissy Razorblade Gilberto_ NEGAN Mill broh Mr Devil
Game ni jumapili na Jumatano ili week isiwe ndefu😃😃😃
View attachment 3422536
Hamna hii ratiba iandaliwe kama kawaida hiyo pre seoson kila mtu akatafute friend match kivyake au kama wataamua kucheza friend match humuhumu sawa 😂Wakuu hizi zigeuke Pre season zichezwe week hii mnaonaje hilo
NEGAN Edo kissy Razorblade Mill broh Gilberto_
Unamjua Mr Devil wewe😀😀
Muulize ananijua vizuri 😂Unamjua Mr Devil wewe😀😀
Hakuna point za kufuzu moja kwa moja...
Pre seoson kila mtu apambane na haki yake ila ratiba ibaki hivi hivi 😂Vyovyote tu 😁
Kandambili1 WaterbenderMpaka saivi tupo live Razorblade unashikilia mkia mkuu 😂😂😂
kuna anaeongezeka?? 😁
View attachment 3423151
Mkuu kwani si tumekubaliana itakuwa ni mfumo wa UEFA, hivyo ndo itakuwa ngumu maana ili ufuzu lazima uwe na hiyo idadi ya points.Hakuna point za kufuzu moja kwa moja...
Ni nafasi yako kwenye msimamo...
Ukiwa wa kwanza na wa pili unafuzu moja kwa moja
Hawa tusubiri mpaka waje kabla hawajaongezwa.
Hawa nawatag ili waone😃Hawa tusubiri mpaka waje kabla hawajaongezwa.
Idadi ya watu kaka ila hata ilivyo mbona fresh tuuMkuu kwani si tumekubaliana itakuwa ni mfumo wa UEFA, hivyo ndo itakuwa ngumu maana ili ufuzu lazima uwe na hiyo idadi ya points.
Hapo mechi si 5 tu kwa kila mtu, ikianza J3 mpaka J2 inakuwa imeisha.Idadi ya watu kaka ila hata ilivyo mbona fresh tuu
Poa toa fixture hiyo kiumane 😂WAKUU, TUPO WACHACHE FIXTURES ZIPO 5 TU SIONI HAJA YA KUSUBIRIA MPAKA J3 NA NYIE MPO TU ACTIVE, TUANZE TU KUKIMBIZANA HIYO J3 ITAFAHAMIKA TU NA HUENDA NDO WATU WATAKUWA WASHAANZA KUONGEZEKA..
Sawaa mkuuPoa toa fixture hiyo kiumane 😂