Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,415
- 27,296
Kikao cha mwisho kabisa watu walisema makipa wa 105 hawapatakinani kirahisi kwahiyo tuondoke na kipaCannavaro Mfupi au Forlan?
Kikao cha mwisho kabisa watu walisema makipa wa 105 hawapatakinani kirahisi kwahiyo tuondoke na kipaCannavaro Mfupi au Forlan?
Nacholikubali lina graphics kali, hata mtu akitoka jasho unaliona! nikimaliza kucheza nihamie DLS naona DLS la kiboya sana, nishalifuta.Amna utalizoea tuu...
Me nilikuwa nacheza DLS since 2014 nimeliacha mwaka huu mwezi wa pili ndo nikahamia hukuNacholikubali lina graphics kali, hata mtu akitoka jasho unaliona! nikimaliza kucheza nihamie DLS naona DLS la kiboya sana, nishalifuta.
Tuma kikosi chako upewe pia ushauri...Nacholikubali lina graphics kali, hata mtu akitoka jasho unaliona! nikimaliza kucheza nihamie DLS naona DLS la kiboya sana, nishalifuta.
Username?Bado ndio naanza hili game ni gumu balaa
Kweli mmepania 😂Kikao cha mwisho kabisa watu walisema makipa wa 105 hawapatakinani kirahisi kwahiyo tuondoke na kipa
Oliver Kahn😀Cannavaro Mfupi au Forlan?
😹😹inabidi konami watuongezee selection siwe mbiliIts confirmed now wote epics 15 wanarudi. Lets gooo Olver Kahn😀
Me khan anisamehe tuu nitaenda na CannavarroIts confirmed now wote epics 15 wanarudi. Lets gooo Olver Kahn😀
Kaka mbona unabadilisha gia angani😅Me khan anisamehe tuu nitaenda na Cannavarro
Mkuu Cannavaro mtu bila kupoteza muda napita nae 😂Me khan anisamehe tuu nitaenda na Cannavarro
Ubaya ni kwamba makipa wanakuja wengi ila beki ngumu za hivi ukimkosa for free basi sahau kumpata kirahisi 😂Kaka mbona unabadilisha gia angani😅
Usiangalie rate yake mkuu ila zingatia mahitaji ya kikosi chako.Its confirmed now wote epics 15 wanarudi. Lets gooo Olver Kahn😀
🤣🤣🤣 Kwahiyo tulud kwenye msimamo ama wote tuwe na khan😃😃😃Kaka mbona unabadilisha gia angani😅
Mkuu Cannavaro mtu bila kupoteza muda napita nae 😂
Kipa wa 105 ni Rare case mzeeUbaya ni kwamba makipa wanakuja wengi ila beki ngumu za hivi ukimkosa for free basi sahau kumpata kirahisi 😂
Mbilikimo hiyo akikutana na Drogba wa Razorblade hatoboi😀Me khan anisamehe tuu nitaenda na Cannavarro
Ngoja selection ifiike tuu🤣🤣🤣 ndo maamuzi ya mwisho yatafanywa😃😃Mbilikimo hiyo akikutana na Drogba wa Razorblade hatoboi😀