eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Nimebadrisha mfumo kutoka 4-2-3-1 kwenda 4-3-1-2(Old Meta).

4-2-3-1, huu mfumo uko vizuri kwenye ushambuliaji na uzuiaji na ni mzuri kwa LBC na OW, changamoto niliyokuwa naipata ni striker kutembea eneo kubwa peke yake na kupelekea kutokuwa kwenye eneo husika kwa wakati, ukikutana na mtu anaetumia back 5 unaweza lia.

4-3-1-2(Old Meta), huu mfumo pia uko vizuri kwenye ushambuliaji na uzuiaji na ni mzuri kwa QC na PSSN unaweza tumia LBC pia, inakuhitaji kuwa na viungo imara na wepesi maana huu mfumo unahitaji kutawala eneo la kati ili kutengeneza nafasi, changamoto inakuja pale ambapo utakutana na mpinzani ambae yuko vizuri kwenye kutumia nafasi za pembeni zilizoachwa na viungo wakati unashambulia.

Kwa sasa 4-3-1-2 ndo mfumo ambao naufanyia mazoezi, natunza coins kwaajili ya Xabi Alonso mwenye mfumo wake wakati huo namvizia Kante wa free 😂.

Yani hili game linaweza kukufanya ukahisi tayari umekuwa kocha bado kupata leseni na timu tu 😂.
 
Nimebadrisha mfumo kutoka 4-2-3-1 kwenda 4-3-1-2(Old Meta).

4-2-3-1, huu mfumo uko vizuri kwenye ushambuliaji na uzuiaji na ni mzuri kwa LBC na OW, changamoto niliyokuwa naipata ni striker kutembea eneo kubwa peke yake na kupelekea kutokuwa kwenye eneo husika kwa wakati, ukikutana na mtu anaetumia back 5 unaweza lia.

4-3-1-2(Old Meta), huu mfumo pia uko vizuri kwenye ushambuliaji na uzuiaji na ni mzuri kwa QC na PSSN unaweza tumia LBC pia, inakuhitaji kuwa na viungo imara na wepesi maana huu mfumo unahitaji kutawala eneo la kati ili kutengeneza nafasi, changamoto inakuja pale ambapo utakutana na mpinzani ambae yuko vizuri kwenye kutumia nafasi za pembeni zilizoachwa na viungo wakati unashambulia.

Kwa sasa 4-3-1-2 ndo mfumo ambao naufanyia mazoezi, natunza coins kwaajili ya Xabi Alonso mwenye mfumo wake wakati huo namvizia Kante wa free 😂.

Yani hili game linaweza kukufanya ukahisi tayari umekuwa kocha bado kupata leseni na timu tu 😂.
Naona ushakuwa xabi😂
 
Naona ushakuwa xabi😂
Kabisa mkuu, jana nilikuwa nahangaika kutoka dvs 5 na mfumo wangu wa 4-2-3-1 kwenye mechi 6 nilishinda 1 na sare 1 ndipo nikasema ngoja nijaribu kutumia striker wawili nikachagua 4-3-1-2, niliwashenyenta hadi ikabidi niende google kwanza kuupekua huu mfumo 😂
 
Nimebadrisha mfumo kutoka 4-2-3-1 kwenda 4-3-1-2(Old Meta).

4-2-3-1, huu mfumo uko vizuri kwenye ushambuliaji na uzuiaji na ni mzuri kwa LBC na OW, changamoto niliyokuwa naipata ni striker kutembea eneo kubwa peke yake na kupelekea kutokuwa kwenye eneo husika kwa wakati, ukikutana na mtu anaetumia back 5 unaweza lia.

4-3-1-2(Old Meta), huu mfumo pia uko vizuri kwenye ushambuliaji na uzuiaji na ni mzuri kwa QC na PSSN unaweza tumia LBC pia, inakuhitaji kuwa na viungo imara na wepesi maana huu mfumo unahitaji kutawala eneo la kati ili kutengeneza nafasi, changamoto inakuja pale ambapo utakutana na mpinzani ambae yuko vizuri kwenye kutumia nafasi za pembeni zilizoachwa na viungo wakati unashambulia.

Kwa sasa 4-3-1-2 ndo mfumo ambao naufanyia mazoezi, natunza coins kwaajili ya Xabi Alonso mwenye mfumo wake wakati huo namvizia Kante wa free 😂.

Yani hili game linaweza kukufanya ukahisi tayari umekuwa kocha bado kupata leseni na timu tu 😂.
Hakuna formation inayonitesa kui defend kama hiyo 4312 😀 naichukia😀

Mkuu unafika ulvision 3 lini? Naona umestuck division 4 shida nini?
 
Hakuna formation inayonitesa kui defend kama hiyo 4312 😀 naichukia😀

Mkuu unafika ulvision 3 lini? Naona umestuck division 4 shida nini?
Ndo naifanyia mazoezi sasa ikikaa sawa nitakuwa naburudika tu, raha ya huu mfumo ukimkaba CF unamkuta SS yuko huru wakati huo viungo wa juu umeweka creative playmaker, umeweka hole player na mwingine orchestrator hapo DM umeweka box to box, mkuu najiona kama Alonso yani 😂

Mkuu kilichonikuta leo kimeniumiza sana yani nilibakiza points 2 halafu na mchezo 1 daah ile kuingia kwenye mechi jamaa niliyekutana nae akanipiga goli 2 za mapema mpaka dakika 90.
 
Baada ya kuona kikosi cha huyu jamaa na collective strength yake nikasema hawa konami mbona wananionea sana, hapo tayari nishacheza mechi 8 na alama zangu 12 😂.
IMG-20250407-WA0002.jpg


Basi bila kupoteza muda nikaingiza timu uwanjani na kauli mbiu ikawa HII TUNAVUKA, bhana weeeh kilichotokea ndani ya dakika 30 nikapachika goli na kufanya ubao usomeke 0-1 mpaka mapumziko, wakati wa mapumziko sasa nikasema hapa inabidi nifanye UBAYA UBWELA, kipindi cha pili nikarudi uwanjani na back 5 yaani 5-2-1-2 lengo likiwa ni kulinda goli na kumshambulia kwa mipira mirefu ya kushitukiza 😂.
IMG-20250407-WA0001.jpg


Mechi haikuwa rahisi mpinzani alikuwa bora sana lakini nilikomaa kuhakikisha NAVUKA na kwenda dvn 3, hatimae kipyenga cha mwisho kikapulizwa kuashiria kukamilika kwa dakika 90' na kufanikiwa kuibuka na ushindi, baada ya mechi kuisha niliweka simu chini nikahema kwa nguvu na kuvipongeza vidole vyangu kwa kazi nzuri 😂.
IMG-20250407-WA0004.jpg


Nawasilisha, Tukaze vidole 😂.
 
Nimebadrisha mfumo kutoka 4-2-3-1 kwenda 4-3-1-2(Old Meta).

4-2-3-1, huu mfumo uko vizuri kwenye ushambuliaji na uzuiaji na ni mzuri kwa LBC na OW, changamoto niliyokuwa naipata ni striker kutembea eneo kubwa peke yake na kupelekea kutokuwa kwenye eneo husika kwa wakati, ukikutana na mtu anaetumia back 5 unaweza lia.

4-3-1-2(Old Meta), huu mfumo pia uko vizuri kwenye ushambuliaji na uzuiaji na ni mzuri kwa QC na PSSN unaweza tumia LBC pia, inakuhitaji kuwa na viungo imara na wepesi maana huu mfumo unahitaji kutawala eneo la kati ili kutengeneza nafasi, changamoto inakuja pale ambapo utakutana na mpinzani ambae yuko vizuri kwenye kutumia nafasi za pembeni zilizoachwa na viungo wakati unashambulia.

Kwa sasa 4-3-1-2 ndo mfumo ambao naufanyia mazoezi, natunza coins kwaajili ya Xabi Alonso mwenye mfumo wake wakati huo namvizia Kante wa free 😂.

Yani hili game linaweza kukufanya ukahisi tayari umekuwa kocha bado kupata leseni na timu tu 😂.
Me mwenyewe nimelud 4-3-1-2 sema nakosa Attacking midfield kama kDb na Kaka
 
Baada ya kuona kikosi cha huyu jamaa na collective strength yake nikasema hawa konami mbona wananionea sana, hapo tayari nishacheza mechi 8 na alama zangu 12 😂.
View attachment 3295452

Basi bila kupoteza muda nikaingiza timu uwanjani na kauli mbiu ikawa HII TUNAVUKA, bhana weeeh kilichotokea ndani ya dakika 30 nikapachika goli na kufanya ubao usomeke 0-1 mpaka mapumziko, wakati wa mapumziko sasa nikasema hapa inabidi nifanye UBAYA UBWELA, kipindi cha pili nikarudi uwanjani na back 5 yaani 5-2-1-2 lengo likiwa ni kulinda goli na kumshambulia kwa mipira mirefu ya kushitukiza 😂.
View attachment 3295453

Mechi haikuwa rahisi mpinzani alikuwa bora sana lakini nilikomaa kuhakikisha NAVUKA na kwenda dvn 3, hatimae kipyenga cha mwisho kikapulizwa kuashiria kukamilika kwa dakika 90' na kufanikiwa kuibuka na ushindi, baada ya mechi kuisha niliweka simu chini nikahema kwa nguvu na kuvipongeza vidole vyangu kwa kazi nzuri 😂.
View attachment 3295457

Nawasilisha, Tukaze vidole 😂.
Karibu div 3 mkuu binafsi nilifika week iliyopita nina week moja mpk sasa... Hali ni kama unavyoiona nimekula vipigo mno
Screenshot_20250407-082300.png
 
Baada ya kuona kikosi cha huyu jamaa na collective strength yake nikasema hawa konami mbona wananionea sana, hapo tayari nishacheza mechi 8 na alama zangu 12 😂.
View attachment 3295452

Basi bila kupoteza muda nikaingiza timu uwanjani na kauli mbiu ikawa HII TUNAVUKA, bhana weeeh kilichotokea ndani ya dakika 30 nikapachika goli na kufanya ubao usomeke 0-1 mpaka mapumziko, wakati wa mapumziko sasa nikasema hapa inabidi nifanye UBAYA UBWELA, kipindi cha pili nikarudi uwanjani na back 5 yaani 5-2-1-2 lengo likiwa ni kulinda goli na kumshambulia kwa mipira mirefu ya kushitukiza 😂.
View attachment 3295453

Mechi haikuwa rahisi mpinzani alikuwa bora sana lakini nilikomaa kuhakikisha NAVUKA na kwenda dvn 3, hatimae kipyenga cha mwisho kikapulizwa kuashiria kukamilika kwa dakika 90' na kufanikiwa kuibuka na ushindi, baada ya mechi kuisha niliweka simu chini nikahema kwa nguvu na kuvipongeza vidole vyangu kwa kazi nzuri 😂.
View attachment 3295457

Nawasilisha, Tukaze vidole 😂.
Hongera mkuu
 
Back
Top Bottom