eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Muuza vikosi Maarufu Tz ni huyu Jamaa Mr Balle +255 747 296 603 mcheki Whatsapp huyo



Humu labda Edo kissy akuuzie account yake moja tupumue🤣🤣🤣pamoja na Gilberto_ na yeye
wana account mbili mbili afu zote kali balaaa😃😃
😂😂😂Ety Kali balaa🙌😂
 
Razorblade Ukiona sipo huku nshtue hata normal 😃😃😃kwa namba ya Tayana wog yako si unaitunza kama sukari yao🤣🤣🤣
 
😃😃😃Wakati game inaanza ulitoa Qc ukaweka LBC

Sasa LBC kwa LBC long balls hazifanyi kazi maana backline inakuwa nyuma sana ndo maana ikabid nicheze pass fupi
Hamna LBC niliweka kabla hatujaingia uwanjani maana tayari ulisema tucheze LBC, settings nilienda kuzima smart assist.

Au wewe ulitaka utumie LBC mie nitumie QC?
 
Hamna LBC niliweka kabla hatujaingia uwanjani maana tayari ulisema tucheze LBC, settings nilienda kuzima smart assist.

Au wewe ulitaka utumie LBC mie nitumie QC?
Niliangalia tulivyoingia room ilikuwa Ni QC then ulivyopiga pause nikaangalia nikaona LBC nikasema hapa sawa😃


Lakin huu ndo mchezo wangu hata niweke possession game Qc ndo itachezwa 😃😃

Kumbe ulizima smart assist😃😃
 
Niliangalia tulivyoingia room ilikuwa Ni QC then ulivyopiga pause nikaangalia nikaona LBC nikasema hapa sawa😃


Lakin huu ndo mchezo wangu hata niweke possession game Qc ndo itachezwa 😃😃

Kumbe ulizima smart assist😃😃
Ndiyo niliweka LBC sasa nashangaa wewe unapiga vipasi vyako 😂

Wakati nacheza event niliwasha 😂
 
Nimeingia nimekuta wewe upo online pamoja na Negan na Mill broh nikatuma kwa wote watatu hakuna aliyekuja...
Nilikua naminyana na AI natafuta badge ya division 1😀
Screenshot_20250713_003121_eFootball.jpg
 
Back
Top Bottom