eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

View attachment 3290598

Kuna kufungwa ile unasema nimefungwa ila nimepiga kazi ila fungwa yangu ni majanga😂😂😂

Kwanza nilizoea smart assist nimekuja huku no smart assist nimepata shida mno kufunga

Kuna game nimetoka sina hata shot ata moja😀😀😀
Mkuu huko dvn nilikutana na mtu anateleza tu nahisi wachezaji wake wote wana one touch pass, kipindi cha kwanza nikala 4 kwa 1 kipindi cha pili ikabidi nikae kwa kutulia ila match ikaisha nimekula 5 kwa 1 😂
 
1000060010.png

Kwa hapa amebaki kocha tu.

Ivi kuna sida gani huyunkipa mara afike 100 mda mwingine kama hivo.
 
Hiyo ji sung Park umemtoa wapi?

Kuhusu kipa ni form ya booster yake akiwa na A form stats zinaongezeka +3 , B +2, akiwa na C +1 , akiwa na D ni zero ndio kama hapo Donnaruma ana form ya D
Nlivokuwa nafungua account, kwenye country nilichagua korea unampata wakorea wa 2 uliowaona hapo.
 
Hiyo ji sung Park umemtoa wapi?

Kuhusu kipa ni form ya booster yake akiwa na A form stats zinaongezeka +3 , B +2, akiwa na C +1 , akiwa na D ni zero ndio kama hapo Donnaruma ana form ya D
Unajuaje? Maana mwanzo alikiwa na 101 now ndo hivo tena
 
Unajuaje? Maana mwanzo alikiwa na 101 now ndo hivo tena
Ipo hivi wachezaji ambao si epic kila week kunakua na form update ambayo inaangalia kwenye ligi zao

Kama mchezaji amekiwasha basi week inayofuata kwenye game wanampa A au B form akizingua wanampa na C au D.

Akiwa na booster maana yake booster linakua activated mchezaji akiwa na A linaboost stats kwa point 3, akiwa na B form inaboost stat kwa point 1 na akiwa na C inaboost point 0.

Sasa Donnaruma wakati kadi inatoka alikua amekiwasha UEFA akawa na A form hivyo sababu ana booster akawa 101. Ila hizi week hapakuwa na mechi za league na hakuafanya vizuri kimataifa hivyo ana D form booster haijawa activated ndio maana ana 98.

Ndio maana sipendagi players of the week wenye booster ili umfaidi inatakiwa aee na A au B form

Form unaangalia kwenye game plan kwenye alama ya mtu kulia chini
Screenshot_20250402_163243_eFootball.jpg
Screenshot_20250402_163259_eFootball.jpg
 
Ipo hivi wachezaji ambao si epic kila week kunakua na form update ambayo inaangalia kwenye ligi zao

Kama mchezaji amekiwasha basi week inayofuata kwenye game wanampa A au B form akizingua wanampa na C au D.

Akiwa na booster maana yake booster linakua activated mchezaji akiwa na A linaboost stats kwa point 3, akiwa na B form inaboost stat kwa point 1 na akiwa na C inaboost point 0.

Sasa Donnaruma wakati kadi inatoka alikua amekiwasha UEFA akawa na A form hivyo sababu ana booster akawa 101. Ila hizi week hapakuwa na mechi za league na hakuafanya vizuri kimataifa hivyo ana D form booster haijawa activated ndio maana ana 98.

Ndio maana sipendagi players of the week wenye booster ili umfaidi inatakiwa aee na A au B form

Form unaangalia kwenye game plan kwenye alama ya mtu kulia chini
View attachment 3291229View attachment 3291228
Mkuu shukrani, unaeleza vizuri hadi unakela😂🙌🏿
 
Back
Top Bottom