eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Hiyo nakumbuka kwenye mtihani wa commercial arithmetic wenzangu wameingia na Scientific Calculator mie nikaamini natoboa kwa kichwa 😂

Nikafanya maswali kadhaa yaliyohitaji calculator nikaishia njiani, nikacheka kimyakimya halafu nikajisemea ”Nitarudi kufanya sup” 😂
Ukazan hii ni Efootball utaingia bila DMF na utashinda🤣🤣🤣
 
Mkuu huenda ningekomaa ningetoboa, kabla ya mtihani kichwa kilikuwa kinagonga balaa mpaka wakawa wanajitafutia panadol 😂

Matokeo yanakuja kutoka ni alama 3 tu ndo zimenipa sup, niliumia roho 😂
Pole sana me nilisup mwaka wangu wa mwisho chuo 🤣🤣🤣nilikata adi rufaa mzee kupinga🤣🤣lakin wap ni kama chuo kilisema dogo utasupua tu mwaka huu
 
Hawa jamaa ukifungwa wana rudisha point kwa sifa asee😹 div 1 inakua shuhuli, nime weka search iwe near by only ili nikutane na wabongo niwakande
Screenshot_20250706_234529_eFootball.jpg
 
Back
Top Bottom