Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,152
- 10,393
Tamaa mbele mauti nyuma, nimepoteza coins pia yani mpaka zimebaki 10 na nilichokitaka sijakipata 😂.Coin zangu leo zimepotea hizi tamaa daah🥲
Tamaa mbele mauti nyuma, nimepoteza coins pia yani mpaka zimebaki 10 na nilichokitaka sijakipata 😂.Coin zangu leo zimepotea hizi tamaa daah🥲
😂😂BahatiNiliokota dodo chini ya mnazi😀 usichoke kujaribu coin kadhaaView attachment 3285317
Kuna hii update mpya wanasema inakuja na CR7(Skills ya bullet header) itatoboa wengi mifuko 😂.Bila kuchoka kwa heshima😂😂 kuna siku tutapata
Tangu konami wale hela yangu alafu wananipa wachezaji hawaeleweki. Nimeapa sitokuja kununua coins nitabaki kuwa free to play. Haya mambo yanaitaji uwe mfukoni vizuri sio hela ya mawazoDuuh kwa mimi nuachane nayo tu unanunua coin na hupati.
Kweli mkuu, hela za mawazo labda ununulie pack.Tangu konami wale hela yangu alafu wananipa wachezaji hawaeleweki. Nimeapa sitokuja kununua coins nitabaki kuwa free to play. Haya mambo yanaitaji uwe mfukoni vizuri sio hela ya mawazo
Tuoneshe na sub players.Wakuu habari za siku polen na Majukumu...
Ni muda sijaja kwenye huu uzi nipate madini
Kwanza kikosi kimefikia hapaView attachment 3290493
Nilikuwa napenda sana kucheza my league ile ya AI... Nilikuwa nataka niweze kuwafunga legends na nichukue league 😀😀
Jana nikasema nije nianze kucheza kwenye division Mungu saidia nikakutana sijui na vibonde plus mtandao wa mtu nikafika division 3 toka division ya 9
Nimefika division ya tatu nimekula vipigo mechi tatu mfululizo tena heavy 😂😂
Humu siku hizi wananyuka haswaa..hyo level ya legend naiogopa sanaWakuu habari za siku polen na Majukumu...
Ni muda sijaja kwenye huu uzi nipate madini
Kwanza kikosi kimefikia hapaView attachment 3290493
Nilikuwa napenda sana kucheza my league ile ya AI... Nilikuwa nataka niweze kuwafunga legends na nichukue league 😀😀
Jana nikasema nije nianze kucheza kwenye division Mungu saidia nikakutana sijui na vibonde plus mtandao wa mtu nikafika division 3 toka division ya 9
Nimefika division ya tatu nimekula vipigo mechi tatu mfululizo tena heavy 😂😂
We jamaa una balaa 😀 unacheza formation la kibabe meta 4222 quick counter nakuzoom upo division 3🙌Wakuu habari za siku polen na Majukumu...
Ni muda sijaja kwenye huu uzi nipate madini
Kwanza kikosi kimefikia hapaView attachment 3290493
Nilikuwa napenda sana kucheza my league ile ya AI... Nilikuwa nataka niweze kuwafunga legends na nichukue league 😀😀
Jana nikasema nije nianze kucheza kwenye division Mungu saidia nikakutana sijui na vibonde plus mtandao wa mtu nikafika division 3 toka division ya 9
Nimefika division ya tatu nimekula vipigo mechi tatu mfululizo tena heavy 😂😂
Tuoneshe na sub players.
Kuhusu vichapo huo ni mwanzo tu.😂
Formation ulinipa hizi mkuuWe jamaa una balaa 😀 unacheza formation la kibabe meta 4222 quick counter nakuzoom upo division 3🙌
Hapo ulipofikia patamu ukipata striker wa kucheza na Mbappe,beki nzuri build up combination na destroyer, ukapata anchor man mwenye speed aanze mbele ya Rodri utafika hadi division one. Maana formation unayocheza ni rahisi kufika division za juu.Formation ulinipa hizi mkuu
Hata midfield uliniambia namna ya kuchagua ndo maana Rice anaanzia nje maana no Box to Box Midfielder
Mwanzoni mpk nafika division ya tano nilikuwa nakutana na watu vikosi vya 2900 huko nikawa najipigia😀😀bada ya hapo nimekutana na 3120 plus huko😂😂ni huzuni
Rodri wa standard huyuHapo ulipofikia patamu ukipata striker wa kucheza na Mbappe,beki nzuri build up combination na destroyer, ukapata anchor man mwenye speed aanze mbele ya Rodri utafika hadi division one. Maana formation unayocheza ni rahisi kufika division za juu.
Tukaze vidoleView attachment 3290598
Kuna kufungwa ile unasema nimefungwa ila nimepiga kazi ila fungwa yangu ni majanga😂😂😂
Kwanza nilizoea smart assist nimekuja huku no smart assist nimepata shida mno kufunga
Kuna game nimetoka sina hata shot ata moja😀😀😀
Kaza vidole mkuu 😂Wakuu habari za siku polen na Majukumu...
Ni muda sijaja kwenye huu uzi nipate madini
Kwanza kikosi kimefikia hapaView attachment 3290493
Nilikuwa napenda sana kucheza my league ile ya AI... Nilikuwa nataka niweze kuwafunga legends na nichukue league 😀😀
Jana nikasema nije nianze kucheza kwenye division Mungu saidia nikakutana sijui na vibonde plus mtandao wa mtu nikafika division 3 toka division ya 9
Nimefika division ya tatu nimekula vipigo mechi tatu mfululizo tena heavy 😂😂