eFootball Special Thread

Wakati huo na mimi nasoma kuwatoka full beki wako anaye press winga zangu kwa kasi😀
Kuna makosa fulani nimeshindwa kurekebisha😃 kwa winger wako kuna mipira nashindwa kukaba ngoja nitafute solution maana itakuja kuniua ile😃😃😃
 
Ushauri wangu kwenye kikosi chako

Nunua mbappe standard card kwa GP awe CF wako huyo Kvara sio CF lakini pia nunua Tchouameni au Rodri wawe CDM wako wote ni anchorman. Huyo Caicedo ni box to box hafai kuwa CDM
Kandambili1 pitia hii kwa Caicedo huko kwa mbappe achana napo utapewa na konami
 
Kuna makosa fulani nimeshindwa kurekebisha😃 kwa winger wako kuna mipira nashindwa kukaba ngoja nitafute solution maana itakuja kuniua ile😃😃😃
Full back zako zinanitesa sana😀. Asilimia kubwa ya mashambulizi zinaanzia fullback zako kupokonya mpira mawinga wangu
 
Full back zako zinanitesa sana😀. Asilimia kubwa ya mashambulizi zinaanzia fullback zako kupokonya mpira mawinga wangu
Oddo mara ya kwanza alinishinda kumtumia nikamuweka reserve kabisa ila baada ya kupata Anchorman nikamludisha nikampa Defensive naona yupo fresh anapiga kazi plus Stamina yake ni 101 kuchoka sahau😃😃😃 huku kwa Timber nampa role ya Cb naona inamfanya hapandi😃😃😃
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…