Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,413
- 27,291
Hii season inayoanza kesho kutwa nataka nitafute badge ya division one kabisa 😃😃hata ikiwa Rank ya millionHawa nitawanyoosha tu ngoja nipate tambo 😂
Hii season inayoanza kesho kutwa nataka nitafute badge ya division one kabisa 😃😃hata ikiwa Rank ya millionHawa nitawanyoosha tu ngoja nipate tambo 😂
Ukiniona online tuma invite maana ukichelewa nataza events 😂Twende nitatumia kile kikosi kingine cha Selikavu😃😃😃
Kawaida hiyo kuna muda unakuta anashuka chini kabisa kuchukua mpira.Owen wangu saiv nacheza nae kama SS week imekata akiwa bored Unakuta kalud zake huku mwanzoni kabisa kuchukua mpira😃😃😃
Sasa kule sijakuadd embu nitumie invite jina SelikavuUkiniona online tuma invite maana ukichelewa nataza events 😂
Kaza vidole 😂Hii season inayoanza kesho kutwa nataka nitafute badge ya division one kabisa 😃😃hata ikiwa Rank ya million
Nikiipata unajua kabisa atakayepata tabu wa kwanza ni wewe😃😃Kaza vidole 😂
Sikutumii, siwezi add mtu mmoja mwenye account tofauti 😂Sasa kule sijakuadd embu nitumie invite jina Selikavu
Son mishenyento 😂Incase you Wonder who is first guyView attachment 3363651View attachment 3363650
Sipati tabu aisee maana nishasema sichezi dvn kwa sasa.Nikiipata unajua kabisa atakayepata tabu wa kwanza ni wewe😃😃
kumbe nilibadili kocha bhanaRazorblade Kikosi kule ni Hiki sasa kama na hiki kitakusumbua😃😃badilisha tu simu mapema kwanza nacheza possession game sio mchezo wangu kabisaView attachment 3363654
Hujawahi nisumbua bhana ni simu yangu tu inakupa ushindi.Razorblade Kikosi kule ni Hiki sasa kama na hiki kitakusumbua😃😃badilisha tu simu mapema kwanza nacheza possession game sio mchezo wangu kabisaView attachment 3363654
Vyovyote vile we husumbui.@Razorblade kumbe nilibadili kocha bhana View attachment 3363665
Roho mbaya tukicheza unanitoa simple tuu😃😃Sikutumii, siwezi add mtu mmoja mwenye account tofauti 😂
Unataka kujaza bure tu nafasi zangu za friends 😂
Acha tuu huyu jamaa konami sijui waliwaza niniSon mishenyento 😂
Tutaona😃😃Sipati tabu aisee maana nishasema sichezi dvn kwa sasa.
Code tu zinatosha 😂Roho mbaya tukicheza unanitoa simple tuu😃😃
Hata noob akijua kumtumia Son tu basi kwisha.Acha tuu huyu jamaa konami sijui waliwaza nini
Aah yamekuwa haya tenaHujawahi nisumbua bhana ni simu yangu tu inakupa ushindi.