Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,690
- 15,639
Timu ya Taifa ya Tanzania ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 (U-17), maarufu kama Serengeti Boys, leo inashuka dimbani kuivaa Senegal U-17 katika mchezo wa mwisho wa michuano ya TotalEnergies AFCON U-17.
Mchezo huo utaanza saa 4:00 usiku katika Uwanja wa Stade Moulay Hassan, Rabat, Morocco, ambapo Tanzania U-17 (Serengeti Boys) itakuwa ikimenyana na Senegal U-17 katika fainali ya michuano ya CAF U-17 Africa Cup of Nations Morocco 2026.
Senegal wanakuja wakiwa na uzoefu mkubwa, nguvu, na kasi, lakini soka la kisasa limeonyesha kuwa dakika 90 ndizo zinazoamua na hakuna timu ndogo tena Afrika.
Swali linarudi kwako shabiki wa soka:
Game ipo on fire dakika 5 ya mchezo
Dakika 7 Serengeti Boys wanafunga goliiiiii zuri sana
Dakika 11, Serengeti boys wanapeleka moto
Dakika 22, Bado vijana wa Tanzania wanaongoza
Dakika 45 za kipindi cha kwanza zimekamilika kibabe kabisa Serengeti Boys wakitoka na uongozi wa goli moja kwa sifuri
Dakika 45 za kipindi cha pili zimeanza
Mchezo huo utaanza saa 4:00 usiku katika Uwanja wa Stade Moulay Hassan, Rabat, Morocco, ambapo Tanzania U-17 (Serengeti Boys) itakuwa ikimenyana na Senegal U-17 katika fainali ya michuano ya CAF U-17 Africa Cup of Nations Morocco 2026.
Senegal wanakuja wakiwa na uzoefu mkubwa, nguvu, na kasi, lakini soka la kisasa limeonyesha kuwa dakika 90 ndizo zinazoamua na hakuna timu ndogo tena Afrika.
Swali linarudi kwako shabiki wa soka:
- Je, mbinu na uzalendo wa Taifa Stars utatosha kuwazuia Simba wa Teranga?
- Au uzoefu na ukongwe wa Senegal utatawala mchezo wa leo?
Game ipo on fire dakika 5 ya mchezo
Dakika 7 Serengeti Boys wanafunga goliiiiii zuri sana
Dakika 11, Serengeti boys wanapeleka moto
Dakika 22, Bado vijana wa Tanzania wanaongoza
Dakika 45 za kipindi cha kwanza zimekamilika kibabe kabisa Serengeti Boys wakitoka na uongozi wa goli moja kwa sifuri
Dakika 45 za kipindi cha pili zimeanza