Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,413
- 27,291
😃😃😃DahVyovyote vile we husumbui.
😃😃😃DahVyovyote vile we husumbui.
Umesema nikikuona online sasa nakuonaje online kama sio marafiki😃😃Code tu zinatosha 😂
Kubwa ajue Blitz tuuHata noob akijua kumtumia Son tu basi kwisha.
Umeishaa😂😂
Upo mkuu nikamkabe Totti leo😃😃Umeishaa😂😂
Kwa kutumia account ambayo ni marafiki 😂Umesema nikikuona online sasa nakuonaje online kama sio marafiki😃😃
Mie ndo napenda hivyo 😂Umeishaa😂😂
Roho mbaya tu kaka😃😃Kwa kutumia account ambayo ni marafiki 😂
Ukishafika division one hauwezi kuwa wa million ,Hii season inayoanza kesho kutwa nataka nitafute badge ya division one kabisa 😃😃hata ikiwa Rank ya million
Ndio mkuu nimepata wachezaji watano na bado na nafasi 2 za ziada asanteUmefanikisha??
Wachukue wote maana alhamic wanatolewaNdio mkuu nimepata wachezaji watano na bado na nafasi 2 za ziada asante
Division one kila siku we ni kugusa tuu 😃😃😃Ukishafika division one hauwezi kuwa wa million ,
Hapa bado siku mbili phase ikate
Kikubwa kucheza haijalishi unafungwa game ngapi.
View attachment 3363761
Aah nina kipa Ludovic nilimchukua juzi lakn simwamini kama Courtois 😃😃😃Selikavu ngoja nilale tutacheza siku nyingine. Ila huyu curtois umemlisha nini 😀 anasave kila kitu 😀
nunez anakosa sana magoli ya wazi. Ila zile kaunta zako ndio maana nacheza mipira ya juu ukishika mpira hujiulizi mara 2😀Aah nina kipa Ludovic nilimchukua juzi lakn simwamini kama Courtois 😃😃😃
Sema mkuu Nunez atakuja aniue saba peke ake siku moja😃😃😃
Nilikuwa nashangaa mbona leo mpira wa tofauti kabisa unacheza 😃😃 kumbe ilikuwa ni Anti Counter 😃😃nunez anakosa sana magoli ya wazi. Ila zile kaunta zako ndio maana nacheza mipira ya juu ukishika mpira hujiulizi mara 2😀
Ile ni anti counter sababu una press kwa fujo na ukiupata mpira pass 2 una shoot😀Nilikuwa nashangaa mbona leo mpira wa tofauti kabisa unacheza 😃😃 kumbe ilikuwa ni Anti Counter 😃😃
Kuna mtu nimecheza nae leo mchana kaniambia nijifunze kukaa na mali😃😃nikacheka tuu
Na kidogo nimekuja kumuelewa Owen mchezo wake kwahiyo hapa saiv ni counter tuu
Tuishi humo tu 😂Roho mbaya tu kaka😃😃
Itabid niisome vizuri hii Anti Counter 😃😃Ile ni anti counter sababu una press kwa fujo na ukiupata mpira pass 2 una shoot😀