eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Hii season inayoanza kesho kutwa nataka nitafute badge ya division one kabisa 😃😃hata ikiwa Rank ya million
Ukishafika division one hauwezi kuwa wa million ,
Hapa bado siku mbili phase ikate
Kikubwa kucheza haijalishi unafungwa game ngapi.
1000057135.jpg
 
Selikavu ngoja nilale tutacheza siku nyingine. Ila huyu curtois umemlisha nini 😀 anasave kila kitu 😀
Aah nina kipa Ludovic nilimchukua juzi lakn simwamini kama Courtois 😃😃😃


Sema mkuu Nunez atakuja aniue saba peke ake siku moja😃😃😃
 
Aah nina kipa Ludovic nilimchukua juzi lakn simwamini kama Courtois 😃😃😃


Sema mkuu Nunez atakuja aniue saba peke ake siku moja😃😃😃
nunez anakosa sana magoli ya wazi. Ila zile kaunta zako ndio maana nacheza mipira ya juu ukishika mpira hujiulizi mara 2😀
 
nunez anakosa sana magoli ya wazi. Ila zile kaunta zako ndio maana nacheza mipira ya juu ukishika mpira hujiulizi mara 2😀
Nilikuwa nashangaa mbona leo mpira wa tofauti kabisa unacheza 😃😃 kumbe ilikuwa ni Anti Counter 😃😃

Kuna mtu nimecheza nae leo mchana kaniambia nijifunze kukaa na mali😃😃nikacheka tuu

Na kidogo nimekuja kumuelewa Owen mchezo wake kwahiyo hapa saiv ni counter tuu
 
Nilikuwa nashangaa mbona leo mpira wa tofauti kabisa unacheza 😃😃 kumbe ilikuwa ni Anti Counter 😃😃

Kuna mtu nimecheza nae leo mchana kaniambia nijifunze kukaa na mali😃😃nikacheka tuu

Na kidogo nimekuja kumuelewa Owen mchezo wake kwahiyo hapa saiv ni counter tuu
Ile ni anti counter sababu una press kwa fujo na ukiupata mpira pass 2 una shoot😀
 
Back
Top Bottom