eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

IMG-20250611-WA0016.jpg


Kama wataileta hii basi waifanye kuwa Selection Contract 😂
 
Jamaa sijui alikuwa na akili gani yule mpuuzi, kulikuwa na Villa wa 104 mule alikuwa hatari sana halafu kocha Gerald wa 500 coins 😂

Kama ingekuwepo mpaka sasa huenda Strength ingekuwa inasoma 3150+ maana ilipotea ikiwa na 3112.
Alijua kabisa kama ungekuwa naye ungekuwa unanifunga kila siku 🔥
 
Mr Devil unashindwaje kutoka hapo dvn 6 mkuu hahahahah..... Kaza vidole hivo

Mimi kibonde mtandao umewazingua jamaa hadi nimepanda....nikakomaa na event tu .japo nazo za moto
😂😂mkuu dvn huwa nacheza kuboresha skills ila sio kukomaa nipande maana sessions ikiisha unarudishwa uliko anzia na mala zote huwa simalizi sessions.
 
Back
Top Bottom