eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Dream team tuna zipata kwenye league tu
 

Attachments

  • Screenshot_20250610_172456_eFootball.jpg
    Screenshot_20250610_172456_eFootball.jpg
    609 KB · Views: 7
  • Screenshot_20250610_172456_eFootball.jpg
    Screenshot_20250610_172456_eFootball.jpg
    609 KB · Views: 6
SS ana impact gan uki muweka yeye na CF Mbele?
Kuunganisha viungo na mshambuliaji/washambuliaji wa mwisho.

Anauwezo wa kuchezesha timu kama ilivyo kwa AMF ila tofauti ni kwamba yeye anakuwa karibu zaidi na mshambuliaji/washambuliaji wa mwisho na kuweza kutengeneza nafasi nyingi zaidi kwenye eneo la mwisho.
 
Aah okay nitakuwa nakupa pia hapa Updates jitaid kuwa active tuu sawaa mkuu watanisaidia na wakongwe wengine pia me mwenyewe new bie sio sana nina miez minne sasa


Kwa sasa nipe screenshot ya home page yako ya Efootball ukishafungua tu game baada ya messi kutoka ile secreen ya mwanzo kabisa inakuwa na match, gameplan, players contract etc
Itume hapa nikupe maelekezo
Shukrani sana mkuu...home page yangu ni hii hapa
 

Attachments

  • Screenshot_2025-06-10-18-05-58-802_jp.konami.pesam.jpg
    Screenshot_2025-06-10-18-05-58-802_jp.konami.pesam.jpg
    457.5 KB · Views: 6
  • Screenshot_2025-06-10-18-05-58-802_jp.konami.pesam.jpg
    Screenshot_2025-06-10-18-05-58-802_jp.konami.pesam.jpg
    457.5 KB · Views: 6
Kuunganisha viungo na mshambuliaji/washambuliaji wa mwisho.

Anauwezo wa kuchezesha timu kama ilivyo kwa AMF ila tofauti ni kwamba yeye anakuwa karibu zaidi na mshambuliaji/washambuliaji wa mwisho na kuweza kutengeneza nafasi nyingi zaidi kwenye eneo la mwisho.
Anavuta mabeki anamuachia space CF kufunga vizuri.
Anha Noted🙏
 
Kama ataingia ataona, alinitumia invite nikasema acha niingie kibishi kujaribu back 3.

Game ilikuwa inalag kwangu lakini kwa kiasi nimeona kucheza na back 3 iko njema, licha ya lag lakini mechi iliisha 1-2(nimeshinda).
Si ungenistua tester hapa nipo kwa ajili yako 😃😃😃
 
Arteta amenivusha dvn 7 kwenda 6 leo nmetoka dvn 9 to 6
Nikushauri kitu mkuu kwa sasa league achana nayo komaa na events upate coins plus wachezaji

Ukiingia kwenye match hapo kwenye home screen yako
Screenshot_20250610-190644.png


Komaa na hizo event za Pvp hapo utakuwa unacheza na mtu kabisa kama league lakn advantage utapa rewards kama coins, level training, skills training pamoja na Gp hivyo vyote una vihitaji kujenga kikosi


Event ya pili ipo chini ni Ya AI Unacheza na macomputer na penyewe rewards ni kama za hapo juu plus kuna chance ya kupewa mchezaji kila week mpya
..

Hizo event zinabadilika Alhamic na nyingine zinakuja kila jumatatu kwahiyo hakikisha unazimaliza hizo then kama utaenda kucheza league kwenye division sawaa
 
Back
Top Bottom