Kaka
Selikavu nashukuru sana kwa hii gundu uliyoniachia. Umenifunga zako usiku ule nimelala nimeamka na nuksi+.
Mimi sio wa kucheza game 12+ bila kushinda 😂😑
View attachment 3359904picha linaanza asubuhi nawasha tu data msela ananambia turuke, najaribu kumkwepa nikamuambia kuna mtu namsikilizia anatuma code, nashangaa code hizo akatuma yeye kuwa nicheze nae. Kanifunga mpaka nikamuambia utaniua 😑
Kilichoniuma sana, kuna mechi kama 2 kanifunga 3-0 yani nimetoka bila ya GG duh.
Selikavu ndo chanzo!!!
View attachment 3359906
View attachment 3359913nimetoka kufungwa nikaingia group la masela chuo tukashauriana tuguse ligi fupi ya Eid al Adha inayoisha leo leo, mimi huwa ndo nawasimamia na kuwaandalia fixtures za ligi.
Mara nyingi huwa wananikataa nisishiriki ligi eti nawaonea sana 😄 leo nikang'ang'ania, imeniuma sana nimetolewa robo fainali na kibonde wa group ambae tumemrushia game juzi tu aysee, tena nje ndani haha😑
View attachment 3359915
Haya yote msababishi wewe
Selikavu Na hii ni mbinu ya kukukimbia ila sikuambii 😄 mana sikuizi umeshanifanya teja unanifunga sana 😢 😅
🙌