Sasa vichwa hata VVD alikuwa anapiga ujue team yangu nzima sina pocher hata mmojaAnapiga vichwa cross zangu namchukia😂
Ngoja nifungue game nipe kama dakika tatu nitakuwa online nipe invite nije allianz ArenaSawa mkuu
Naelewa ila wewe umekomaa na Adams wangu kama vile anakutoa roho, najua unamtamani sana basi jitulize tu utampata 😂Hakuna aliyekupangia kaka ni kwenye harakati za kuelekezana plus utani nothing serious mzee😃😃😃
Kwanza leo twende room kaka nina kikosi kipya cha moto balaaView attachment 3359119
Sasa kujituliza kwangu kunahusiana nini na kumpata Tony Adams😃😃😃Naelewa ila wewe umekomaa na Adams wangu kama vile anakutoa roho, najua unamtamani sana basi jitulize tu utampata 😂
Sichezi zaidi ya events mpaka nipate simu ya kueleweka 😂
Ila ulikuja kwa mbwembwe kaka😃😃Kuna anaejiweza humu ?🥴😁
🤣🤣🤣KheehIla upunguze kushambulia mkuu.
Hamna kaka. Mi nilikuwa mechi ya ligi na mtu mwingine huo muda.
Mzee wa kuchimbua makaburi 😂.. hiyo umeitoa wapi?Ila ulikuja kwa mbwembwe kaka😃😃
Nimeshenyetwa tena🤣🤣🤣Wahi kitandani😂😂 ushenyentwe