eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Mzee wa kuchimbua makaburi 😂.. hiyo umeitoa wapi?
Nilikuwa natafuta comment ya master Razorblade akiwa ananielekeza game.... Niliscreenshot kwa matumizi ya baadae ila nimeikosa...

Razorblade kumbe master wangu alafu namuelekeza tena🤣🤣🤣mwanafunzi sina adabu


Master shifuu Razorblade umeniispire sana kucheza Efootball bila wewe ningekuwa sijui😃hatubishani tena kuhusu anchoring hapa na mimi nataka nikampe Bastoni maana master ni master tuu akifanya kitu iga
FjO6oNbXwA0Xx0P.jpeg
 
Nilikuwa natafuta comment ya master Razorblade akiwa ananielekeza game.... Niliscreenshot kwa matumizi ya baadae ila nimeikosa...

Razorblade kumbe master wangu alafu namuelekeza tena🤣🤣🤣mwanafunzi sina adabu


Master shifuu Razorblade umeniispire sana kucheza Efootball bila wewe ningekuwa sijui😃hatubishani tena kuhusu anchoring hapa na mimi nataka nikampe Bastoni maana master ni master tuu akifanya kitu igaView attachment 3359344
Mikwara tu ile 😂.. mlijaa nasoma mlivyokuwa mnachati pale mlikuwa mnamsaksia Negan kwangu, sema sikuziona eti ndo nazisoma leo.
 
Nilikuwa natafuta comment ya master Razorblade akiwa ananielekeza game.... Niliscreenshot kwa matumizi ya baadae ila nimeikosa...

Razorblade kumbe master wangu alafu namuelekeza tena🤣🤣🤣mwanafunzi sina adabu


Master shifuu Razorblade umeniispire sana kucheza Efootball bila wewe ningekuwa sijui😃hatubishani tena kuhusu anchoring hapa na mimi nataka nikampe Bastoni maana master ni master tuu akifanya kitu igaView attachment 3359344
Naweza hata nikastaafu game lakini wewe bado ni mwanafunzi tu kwangu ndiyomaana nimekwambia cheza sana friend match walau ufikie robo ya ubora wangu 😂
 
Naweza hata nikastaafu game lakini wewe bado ni mwanafunzi tu kwangu ndiyomaana nimekwambia cheza sana friend match walau ufikie robo ya ubora wangu 😂
Sawaa Shifuuu🤣🤣🤣🤣 nitajitaid naomba siku nipate game na wewe nipate tena mawili matatu ya kunifanya niwe pro😃😃😃najua upo busy na wanafunzi wengi ila fanya kunikumbuka master i humbly submit
FjO6oNbXwA0Xx0P.jpeg
 
Huko DLS wamepelekewa Batistuta (BatiGoal) bana, afu eti anauzwa kwa pesa za halali eti Laki na elfu 7, na game lenyewe lile 😂💔
View attachment 3359686BatiGoal ametrend sana hizi siku 😂🔥
Batigoal ana balaa juzi online nimekutana na mtu anajua kumtumia Batigoal kanipiga hat trick 1st half😀 second half ikabidi nimuweke Rudiger a deal nae🙌
 
Batigoal ana balaa juzi online nimekutana na mtu anajua kumtumia Batigoal kanipiga hat trick 1st half😀 second half ikabidi nimuweke Rudiger a deal nae🙌
Ukikitana na mtu anaejua kumtumia vizuri huyo anakufunga hata akiwa haliangalii goli 😂
 
Back
Top Bottom