Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,413
- 27,291
Id ilipotea😃😃😃Huyo Myunani mbona last seen yake ni siku hiyohiyo aliyojiunga tena ni 2012 😂
Id ilipotea😃😃😃Huyo Myunani mbona last seen yake ni siku hiyohiyo aliyojiunga tena ni 2012 😂
Twende hivyo hivyo haiwez shindwa kuchezesha mtu mmoja😃😃😃Unyama sana, nimekuwa nikitamani kucheza Co-op lakini kwa simu yangu sidhani kama inaweza kucheza vizuri.
Nitaongoza mimi kuchomesha nikifwatiwa na Razorblade 😃Tufanye hivo haha mchomeshaji tutakuja kumsema humu 😄
Mkiniweka hivyo nafasi yangu mtacheza na AI naleft room mapema tuu😃😃😃😃Uje. We na Myunani mtakuwa upande mmoja 😂💔 nyie si watani
Kuna account ya Selikavu nimefungua😃😃soon nitawaomba mniadd maana kile kikosi kina balaa natafuta coins nipate kocha maana kwa sasa kwa mfumo wangu kipo tayali asilimia kama 80 hiviJina la huku halifanani na kwenye game.
Wapiga pasi mkae sehemu yenu me nitakuwa zangu na Mill broh 🤣🤣🤣Haha tutaona hiyo mida, muhimu tuenjoy game tu.
Poa.Haha tutaona hiyo mida, muhimu tuenjoy game tu.
Tutapita hata kesho at least tuwe wa 4 au 6 including mill broh na edo kissy kama watakuwa onlineMkuu NEGAN leo fainali ya UEFA nations league saa nne usiku na mara nyingi mechi zetu humu tunaanza kucheza saa nne😃 tutatoboa kwel au tuangalie adjustment
Ngoja huo muda ukifika tuone.Twende hivyo hivyo haiwez shindwa kuchezesha mtu mmoja😃😃😃
Sema konami jau sana, baada ya kupoteza account nilivyokuwa nafungua hii ya sasa kuweka Razorblade iligoma.Kuna account ya Selikavu nimefungua😃😃soon nitawaomba mniadd maana kile kikosi kina balaa natafuta coins nipate kocha maana kwa sasa kwa mfumo wangu kipo tayali asilimia kama 80 hivi
Shida tupu 😂Wewe nafasi atachukua Edo kissy maana utachoma sana😀
Sawaa kakaTutapita hata kesho at least tuwe wa 4 au 6 including mill broh na edo kissy kama watakuwa online
Hapana tatu ile ya japan ndo nimeweka jina SelikavuSema konami jau sana, baada ya kupoteza account nilivyokuwa nafungua hii ya sasa kuweka Razorblade iligoma.
Kwahiyo una account 4 sasahivi?
Bure yupi kaka, huyu wa Ufaransa?Iv huyu mbappe tunayepewa wa bure huwa ni Adv striker kwa wote??
Nataka niconfirm kitu hapa??
Razorblade NEGAN Gilberto_ Edo kissy et al