eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

1000102188.png

Leo nimekuwa na bahati ya POTW kwa coin 200 nikapata niliowataka.
 
Selikavu ,Razorblade ,NEGAN kuna siku tulikiwa na mada kuhusu Anchoring, kuna hii nimekutana nayo huko Telegram kwa huyu jamaa. Yeye huwa anaitumia kwa washambuliaji wake, bado sijaijarib ila nahisi itakuwa moto 🔥🙌 View attachment 3358489
Kitu ambacho tunapaswa kujua ni kuwa hizi individual instructions kila mtu anaweka kwa mapenzi yake kulingana na mahitaji ya kikosi chake.

Ni vizuri kutumia kwa CF kama maelezo hayo yalivyo lakini lazima uelewe kwamba ukimpa anchoring CF hatokuwa na mikimbio mingi ya kuweza kuwavuta mabeki na inaweza kuwa rahisi kwake kufanyiwa marking.
 
Dah we mkorofi sana🤭 Razorblade 😀
Hanisumbui huyo 😂, binafsi siwezi mpa CF instruction ya anchoring maana hawezi fanya kazi navyotaka ila mtu kama Selikavu hawezi elewa 😂

Leo asubuhi kwenye PvP event nimekutana beginner kipindi cha kwanza tumecheza vizuri ila kipindi cha pili akafanya ujinga kumark CF wangu halafu akanifunga kwa smart assist.

Sasa embu fikiria ndo unampa anchoring CF halafu unakutana na mtu anawamark hapo inakuwa kazi juu ya kazi.
 
Kitu ambacho tunapaswa kujua ni kuwa hizi individual instructions kila mtu anaweka kwa mapenzi yake kulingana na mahitaji ya kikosi chake.

Ni vizuri kutumia kwa CF kama maelezo hayo yalivyo lakini lazima uelewe kwamba ukimpa anchoring CF hatokuwa na mikimbio mingi ya kuweza kuwavuta mabeki na inaweza kuwa rahisi kwake kufanyiwa marking.
Hakuna aliyekupangia kaka ni kwenye harakati za kuelekezana plus utani nothing serious mzee😃😃😃


Kwanza leo twende room kaka nina kikosi kipya cha moto balaa
Screenshot_20250607-123019.png
 
Hanisumbui huyo 😂, binafsi siwezi mpa CF instruction ya anchoring maana hawezi fanya kazi navyotaka ila mtu kama Selikavu hawezi elewa 😂

Leo asubuhi kwenye PvP event nimekutana beginner kipindi cha kwanza tumecheza vizuri ila kipindi cha pili akafanya ujinga kumark CF wangu halafu akanifunga kwa smart assist.

Sasa embu fikiria ndo unampa anchoring CF halafu unakutana na mtu anawamark hapo inakuwa kazi juu ya kazi.
Kiukwel siwezi elewa ndugu watazamaji🤣
FB_IMG_17485487994166898.jpg
 
Hanisumbui huyo 😂, binafsi siwezi mpa CF instruction ya anchoring maana hawezi fanya kazi navyotaka ila mtu kama Selikavu hawezi elewa 😂

Leo asubuhi kwenye PvP event nimekutana beginner kipindi cha kwanza tumecheza vizuri ila kipindi cha pili akafanya ujinga kumark CF wangu halafu akanifunga kwa smart assist.

Sasa embu fikiria ndo unampa anchoring CF halafu unakutana na mtu anawamark hapo inakuwa kazi juu ya kazi.
Yeah Individual instructions zinaendana na mechi husika kuna muda zinaweza kufanya kazi kwa opponent huyu halafu kwa opponent mwingine zikakataa.
 
Back
Top Bottom