eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Kwa sasa watanzania wengi watakuwa na vikosi kama wajapani maana kuna mchongo huko unatrend kama upo group la Whatsapp unaona🫵🙌
 
Wakuu leo nimepewa hiki kikosi free na jamaa yangu yeye amesema anataka akomae na kikosi kingine pekee smbacho alipata epic watatu juzi hapa kwa hiyo hichi hakihitaji nikamwambia nipe 😃😃😃


Nipe maoni yenu maana nina account mbili tayali ila hii nzuri ina card ambazo nilizisaka kwa spine nikakosa...

Reserve hakuna kitu mshkaji alikuwa anauza apate booster😃😃🙌nawaza nikiache kile cha japan nikiendeleze hiki

Maoni yenu
Screenshot_20250529-194700.png
 
Screenshot na cha kwako tu rate
Wakuu leo nimepewa hiki kikosi free na jamaa yangu yeye amesema anataka akomae na kikosi kingine pekee smbacho alipata epic watatu juzi hapa kwa hiyo hichi hakihitaji nikamwambia nipe 😃😃😃


Nipe maoni yenu maana nina account mbili tayali ila hii nzuri ina card ambazo nilizisaka kwa spine nikakosa...

Reserve hakuna kitu mshkaji alikuwa anauza apate booster😃😃🙌nawaza nikiache kile cha japan nikiendeleze hiki

Maoni yenu
View attachment 3349889
 
Wakuu leo nimepewa hiki kikosi free na jamaa yangu yeye amesema anataka akomae na kikosi kingine pekee smbacho alipata epic watatu juzi hapa kwa hiyo hichi hakihitaji nikamwambia nipe 😃😃😃


Nipe maoni yenu maana nina account mbili tayali ila hii nzuri ina card ambazo nilizisaka kwa spine nikakosa...

Reserve hakuna kitu mshkaji alikuwa anauza apate booster😃😃🙌nawaza nikiache kile cha japan nikiendeleze hiki

Maoni yenu
View attachment 3349889
Kwa hisani yako naomba unipatie hiki kikosi mkuu na mimi nimiliki vikosi viwili.

NB: Nimekipenda kwa sababu ya Bastoni.
 
Back
Top Bottom