Siyo yeye😃😃🫵Ameandika jina kabisa.
Akili yako naijua kaka😃😃Unajuaje kama situmi 😂
Nahitaji Defensive ila costa ni kama anadaka sana huyu jamaa niklikutana na mtu anae aseee🙌Hapa nitaondoka na Dominik Livakovic(DG)
View attachment 3349544
Wakuu leo nimepewa hiki kikosi free na jamaa yangu yeye amesema anataka akomae na kikosi kingine pekee smbacho alipata epic watatu juzi hapa kwa hiyo hichi hakihitaji nikamwambia nipe 😃😃😃
Nipe maoni yenu maana nina account mbili tayali ila hii nzuri ina card ambazo nilizisaka kwa spine nikakosa...
Reserve hakuna kitu mshkaji alikuwa anauza apate booster😃😃🙌nawaza nikiache kile cha japan nikiendeleze hiki
Maoni yenu
View attachment 3349889
Nimeona😃angekuwa destroyer aseee🫵Ni Build up huyo.
Wengine walikuwa magoroka tu nimewarelease wote kwaajili ya kupata selection booster.
Kwa hisani yako naomba unipatie hiki kikosi mkuu na mimi nimiliki vikosi viwili.Wakuu leo nimepewa hiki kikosi free na jamaa yangu yeye amesema anataka akomae na kikosi kingine pekee smbacho alipata epic watatu juzi hapa kwa hiyo hichi hakihitaji nikamwambia nipe 😃😃😃
Nipe maoni yenu maana nina account mbili tayali ila hii nzuri ina card ambazo nilizisaka kwa spine nikakosa...
Reserve hakuna kitu mshkaji alikuwa anauza apate booster😃😃🙌nawaza nikiache kile cha japan nikiendeleze hiki
Maoni yenu
View attachment 3349889
Mbona kuna pack pale yupo desroyer.Nimeona😃angekuwa destroyer aseee🫵
Tupe hizo info hapa turuke nazo bhana.Watu wamehack mchongo kwenye Mixx by Yasinta kaka kwa info zaid tukutane Whatsapp
Add me as a contact on WhatsApp. Share on WhatsApp
labda kuna mwenye bahati humu akatufaa sote
Kauli ya mwisho imekaa kimkaa kimkakati sana eniwei ujumbe umefika kakaLeo tu nimetumia coins 500 kwaajili ya mchezaji mmoja, kuzitunza ni jambo gumu 😂
Sema mimi niliyemtaka nimempata 😂
Ngojea hizi card kaka upate epic hapo defensive mmoja matataKipa wangu ana vuja sanaa sijui kawaje 😅😅
Mpaka nilogin kwangu tena embu ngoja nichek kama nitakuwa na recently screenshotScreenshot na cha kwako tu rate
Aah sasa siwezi. Choma coin kwa destroyer POTW Kaka😃😃Mbona kuna pack pale yupo desroyer.
Upo kwenye group nenda kafuatulie utaona kaka au unamuona Guilberto tu na mimi michongo huoni??😃😃Tupe hizo info hapa turuke nazo bhana.
Siyo wa POTW bhana.Aah sasa siwezi. Choma coin kwa destroyer POTW Kaka😃😃
Selikavu unairuka hii bhana, kaza macho 😂Kwa hisani yako naomba unipatie hiki kikosi mkuu na mimi nimiliki vikosi viwili.
NB: Nimekipenda kwa sababu ya Bastoni.
Me nipo nawaza nikiache kipi kati ya kile cha japan kipya au changu 🤣🤣Kwa hisani yako naomba unipatie hiki kikosi mkuu na mimi nimiliki vikosi viwili.
NB: Nimekipenda kwa sababu ya Bastoni.