eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Hapa nitaondoka na Dominik Livakovic(DG)
IMG-20250529-WA0013.jpg
 
Wakuu hii card imekula coins zangu 500 mpaka kuipata na sijutii kama Selikavu 😂
View attachment 3349521
View attachment 3349522
View attachment 3349523

Pia nimefatilia CB wenye skill ya Destroyer wengi wanaspeed ya kawaida kiasi kwamba ikipigwa mipira mirefu kama wamesogea juu inakuwa ngumu kukimbizana na mpinzani.

Nimeamua Tony Adams kumpa instruction ya Defensive.
View attachment 3349524
Ni Build up au destroyer??


Sema huyu jamaa ana speed sana DLS amenisumbua mno kumpita sijajua huku

Wamekupa mwingine nani pale??
 
Hapana. Achana nae tu. Mara nyingi huwa wanakaa nyuma tu, ila kuna muda mwingine huwa wanapanda hao wa defensive FB
Maana yake hii hata kwa LB ambaye anaskill ya Attacking fullback haina haja ya kumpa instruction ya Attacking, basi ngoja niset upya individual instructions.

Kuhusu kupanda kwa Defensive fullback ndiyo huwa kuna muda wanapanda ila wako haraka kurudi chini.
 
Ni Build up au destroyer??


Sema huyu jamaa ana speed sana DLS amenisumbua mno kumpita sijajua huku

Wamekupa mwingine nani pale??
Ni Build up huyo.

Wengine walikuwa magoroka tu nimewarelease wote kwaajili ya kupata selection booster.
 
Back
Top Bottom