Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,152
- 10,393
Sisomi jumbe za mule mara kwa mara mkuu 😂Ndo unaona leo haupo serious na kazi yako ya ujasusi kaka🤣🤣🤣
Sisomi jumbe za mule mara kwa mara mkuu 😂Ndo unaona leo haupo serious na kazi yako ya ujasusi kaka🤣🤣🤣
Unasoma message zangu tuu saiv kaongezaka na Guilberto kaka😃😃Sisomi jumbe za mule mara kwa mara mkuu 😂
Mule tatizo ukifungua unakuta messages nyingi na huo muda wa kuzisoma sina.Zamaaani kaka, hata Selikavu tushazoeana kabisa 😂
Wakati nimeona mnaitana uwanjani 😂Kwanza itakuwa umenifananisha 😂
Wewe si uliniambia nitashitukia uko PM yangu 😂Huyu anajificha kama vile tutamuibia figo😃😃😃
Zangu unazionaje sasa😃😃Mule tatizo ukifungua unakuta messages nyingi na huo muda wa kuzisoma sina.
Sio yeye huyo😃😃Wakati nimeona mnaitana uwanjani 😂
Baada ya kuambiwa hvyo hata message hutumi mzee 🤣🤣🤣Wewe si uliniambia nitashitukia uko PM yangu 😂
Nakutana nazo tu bahati mbaya, wanatukana sana mule ndiyomaana huwa naskip.Zangu unazionaje sasa😃😃
Ameandika jina kabisa.Sio yeye huyo😃😃
Unajuaje kama situmi 😂Baada ya kuambiwa hvyo hata message hutumi mzee 🤣🤣🤣
Kwani kumuita mtu uwanjani lazima anijue 😂Wakati nimeona mnaitana uwanjani 😂
Wakati nimeona mnaitana uwanjani 😂
Nimecheka kifala 😂View attachment 3349525
View attachment 3349527View attachment 3349529
We kwanza unatumia username gani? 😂😂
😂😂 ko utanijibu au utendelea kucheka? 😂Nimecheka kifala 😂