eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Wakuu hii card imekula coins zangu 500 mpaka kuipata na sijutii kama Selikavu 😂
IMG-20250529-WA0023.jpg

IMG-20250529-WA0024.jpg

IMG-20250529-WA0025.jpg


Pia nimefatilia CB wenye skill ya Destroyer wengi wanaspeed ya kawaida kiasi kwamba ikipigwa mipira mirefu kama wamesogea juu inakuwa ngumu kukimbizana na mpinzani.

Nimeamua Tony Adams kumpa instruction ya Defensive.
IMG-20250529-WA0026.jpg
 
Back
Top Bottom