eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Nikipata defensive Fullbacks mbili Anchorman wawili... Mabeki wangu wa kati nikapata destroyer mmoja...

AMF wangu Box to Box...

Namba tisa wote wawili Goal Poacher😃🫵 wote hapa. Wanaanza kikosi cha kwanza itakuwa super team kwangu.... hapo nitakuwa nimekamilika aje yoyote😃😃😃😃 formation 4222
 
Mabeki wangu wanalindwa hapa penyewe nataka nianze kumchezesha Pedri kama CMF na sio AMF maana ni Box to Box ningempata na Sablozai mbele ya namba sita wangu Wanakaaa box to Box wawili mbele wapo na nyuma wapo....🤣🫵

Hole player na creative playmakers kuwachezesha AMF kwenye timu yangu hapana aseee hawalud kukaba


Naludia napenda kukaba😃😃😃
Kumbe familia wote tunapenda kukaba🙌🤣.
 
Nikipata defensive Fullbacks mbili Anchorman wawili... Mabeki wangu wa kati nikapata destroyer mmoja...

AMF wangu Box to Box...

Namba tisa wote wawili Goal Poacher😃🫵 wote hapa. Wanaanza kikosi cha kwanza itakuwa super team kwangu.... hapo nitakuwa nimekamilika aje yoyote😃😃😃😃 formation 4222
Defensive fullback wawili🙄 peak Haram ball😅
 
Defensive fullback wawili🙄 peak Haram ball😅
Napenda hiyo😃😃me bado nipo Analogy au old football maswala sijui ya inverted full back anakuwa middle hapana

Ndo maana Odo nikipanda kushambulia anavyokuja anawapita adi akina Torres na Owen ananifanya akili inawaka sehemu yake kakaba nani huyu jamaa😃😃😃 kuna game mpaka nikatoa mpira nje nikaingiza Kimmich 😂😂😂
 
Mill broh kaka simu imebakiza 5 hapa ngoja niweke chaji baadae tutaenda
ila kaka fanya Fanya basi upunguze hata DM mmoja nije mbele kwa uhuru 🤣🤣
Screenshot_20250528-185644.png
 
Back
Top Bottom