Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,152
- 10,393
Mie naona unatumia makipa watatu tu hapo 😂
Mie naona unatumia makipa watatu tu hapo 😂
Twende tukatest na kikosi B cha Selikavu username🫵🤣Nimeclear storage leo ila bado sijajaribu 😂
Na amekataa tu kuzibwa nilitaka nimfiche kabisa na VVDMie naona unatumia makipa watatu tu hapo 😂
Labda baadae sasahivi mambo mengi 😂Twende tukatest na kikosi B cha Selikavu username🫵🤣
Aina nomaLabda baadae sasahivi mambo mengi 😂
Haya bhana 😂Na amekataa tu kuzibwa nilitaka nimfiche kabisa na VVD
Formation yangu ya pili itakuwa hii sisi kama Inter Milan wazee wa defensive football
View attachment 3347777
Test hivyo uone utafanya maboresho mwenyewe😀Sawaa mkuu nitafanya hvyo
Je nahitaji LMF u hvyo hvyo tuu
Nangojea mtu wa kwenda naeTest hivyo uone utafanya maboresho mwenyewe😀
Kumbe unawekeanga DMF wote defensive instructions 🙌 Najiulizaga kwa nini nikicheza na wewe sipati space mbele ya mabeki leo ndio nimegundua 🤣Nitajaribu japo mwanzo niliwaza nije na hii formation kumpa uhuruView attachment 3347564
Alafu kwenye instructions naweka hivi
View attachment 3347567
Razorblade
achana na Coin zangu zinamtaka Yaya toure hizo ngoja nifike 200🫵🤣
HATUCHEZI 😂Nangojea mtu wa kwenda nae
Aliyepo kwa sasa ni Razorblade hakuna test nitafanya zidi yake ikaonesha mapungufu simu yake bomu😃
Abadili simu aache ubahili😀Nangojea mtu wa kwenda nae
Aliyepo kwa sasa ni Razorblade hakuna test nitafanya zidi yake ikaonesha mapungufu simu yake bomu😃
😃😃😃Sasa nina Orchestor wote mkuu sio Nifanyaje😃😃na kukaba sijui😃😃😃nikipata Anchorman hapo sawaaa nitapunguza moja😃Kumbe unawawekeanga DMF wote defensive instructions 🙌 Najiulizaga kwa nini nikicheza na wewe sipati space mbele ya mabeki leo ndio nimegundua 🤣
Kuna simu naisikilizia 😂Abadili simu aache ubahili😀
Yani nimejiuliza sana sikuwahi pata jibu inakuaje nikishika mpira kwenye half spaces Guardiola na De jong wameniganda 😀 kumbe hawapandi mbele🤣😃😃😃Sasa nina Orchestor wote mkuu sio Nifanyaje😃😃na kukaba sijui😃😃😃nikipata Anchorman hapo sawaaa nitapunguza moja😃
Sema huyu nae muoga sana 😂Yani nimejiuliza sana sikuwahi pata jibu inakuaje nikishika mpira kwenye half spaces Guardiola na De jong wameniganda 😀 kumbe hawapandi mbele🤣
Na De jong ana deepline😃😃🤣Yani nimejiuliza sana sikuwahi pata jibu inakuaje nikishika mpira kwenye half spaces Guardiola na De jong wameniganda 😀 kumbe hawapandi mbele🤣
Ukikosa njoo uchukue yangu kaka nipe yako😃😃tuwe tunachezaKuna simu naisikilizia 😂
Ana bonge la ukuta mbele ya mabeki🤣Sema huyu nae muoga sana 😂
Sio uoga kaka ni nature ya viungo nilionao....Sema huyu nae muoga sana 😂
Mabeki wangu wanalindwa hapa penyewe nataka nianze kumchezesha Pedri kama CMF na sio AMF maana ni Box to Box ningempata na Sablozai mbele ya namba sita wangu Wanakaaa box to Box wawili mbele wapo na nyuma wapo....🤣🫵Ana bonge la ukuta mbele ya mabeki🤣