eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Ndo maana hata sijapost kuna siku nikikikufunga najua hapa simu yake bomu hakuna kitu anafanya😃


Kipind cha mpito how?? Unabadili tambo au unapotea mazima
Kipindi cha mpito namaanisha kile cha kupigika hovyo kila kona 😂

Oya hii simu siisemi vibaya kwa game mpaka dakika hii imenistiri ila ni changamoto, nilikuwa natamani kuforteit lakini hatujagusa muda nikaona bora tucheze tu.
 
Nakujua mbona na ndiyomaana sikuforteit ila sasahivi unajuajua 😂
Sichezi na wewe mpaka ubadili simu unaniharibia kiwango 😃😃😃
a6824c97e4724220bf41f9cc0e91c43a.jpg
 
Back
Top Bottom