Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,152
- 10,393
😂😂 hirizi imeng'aa.Mwamba unatumia tunguli za babu kuspin🤭
Poa mkuu.Duh kaka alikuwa anacheza events msela hapa
Tutagusa night, au baadae kidogo ukiwa active.
Mkuu ndo naingia hapa, vipi upo online?Oya, Razorblade Upo tuzame?
NipoMkuu ndo naingia hapa, vipi upo online?
Selikavu alinishtua sema nilikuwa nipo roomMkuu ndo naingia hapa, vipi upo online?
Poa tutagusa mida basi, nataka nijifunze game upya japo simu siyo rafiki 😂Selikavu alinishtua sema nilikuwa nipo room
😂😂 yupo kimkakati huyoWatu wa hivi sipendi kukutana nao yani ilikuwa 1-1 halafu anacheza mpira mbaya hakuna, baada ya kupata goli la 2 hichi ndo alichokifanya 😂
View attachment 3344251
Owaaaa unanipangia mwanangu🤣🤣Jeuri hiyo hana bhana asituchoshe 😂
Ndo leo sasa nimefungwa sana leoHapo atulie tu basi. Mimi kuna siku nakuwa na stress naingia kwa gane ili kutoa cha ajabu zinazidi tu😂
Umesahau mbs 700 za commentaries na 300 za stadiumHaitanisumbua kurudisha account ila hela ya hizo GB2 pamoja na hela ya usumbufu iwe pembeni(aindae) 😂
Huyo anafika mia kamili😃😃Nawauliza wakongwe kwanza kama anafika 100+ huyo nijichange.
Unataka u push division 1 bila shakaLeo sitaki invite yoyote muwe na usiku mwema......
Razorblade lolote baya likukute room utakayoingia....
Bado nipo na sonono ya kupoteza coins 1000+ kwa Vardy na Sablozai...Unataka u push division 1 bila shaka
Kanikera aisee jamaa ni mwendo wa drones tu 😂😂😂 yupo kimkakati huyo
Mi kwa Vardy ndo nilipoteza kama 700 hiviBado nipo na sonono ya kupoteza coins 1000+ kwa Vardy na Sablozai...
Division sichez kabisa since smart assist imekuja😃