Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,415
- 27,294
Fresh tuu azam si ni Negan😃😃Basi iwe kama derby za azam na wakazi wa kariakoo 😂
Fresh tuu azam si ni Negan😃😃Basi iwe kama derby za azam na wakazi wa kariakoo 😂
Bila wewe me nisingedownload hili game ujue😃😃kuna asilimia zako umechangiaJapo sikiwashi😂💔🚮
Aah me na wewe mpaka wajukuu wako mzee🤣🤣Uanze kunihurumia sasa unanitesa sana 😂
Watu group za Whatsapp wanazikmbia mzee si unajua humu where we dare to talk openly 😃😃Sema sasa ishu inakuja hamna watu active sana humu itachezeka kweli? Tunaochati kila siku tushakaririana labda atengeneze group Whatsapp liitwe kama humu
Kumechangamka si unaona mpaka Intelligent businessman akakimbilia huku 😂Me nimeingia ukiwa na pages kama sio 20 ni kumi naa...
Now tupo 185😃😃😃
Watu mnapeleka moto tuu 😃😃
Hapo sawa maana na play mzikiUjaribu kupunguza running application.
Huyo anatembea kila uzi 😃😃Kumechangamka si unaona mpaka Intelligent businessman akakimbilia huku 😂
Punguza Running application mkuuHivi nikitaka game lisijifunge nikitaka kuondoka kwenye app ya game nafanyaje? Maana game nikiondoka tu linajifunga mpaka nifungue upya
😃😃😃😃aseeeee🙌🙌🙌
Inaonekana unalala masaa machache sana 😂😃😃😃😃aseeeee🙌🙌🙌
Kijana mimi kila uzi naibuka, they call me the mighty himselfKumechangamka si unaona mpaka Intelligent businessman akakimbilia huku 😂
Huyo Selikavu ana takiwa atandikwe bakora elfu 2 bila maelezo😂😁Inaonekana unalala masaa machache sana 😂
😃😃😃Jobles nilale saa nne nawai wapi kaka 😃Inaonekana unalala masaa machache sana 😂
Kweli kabisa 😂Huyo Selikavu ana takiwa atandikwe bakora elfu 2 bila maelezo😂😁