eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

NEGAN mkuu huu mfumo ndo ulikua una wasiwasi nao😃😃

Eniwei back 3 inanisumbua sana asubuhi nilitaka nikuulize je back 3 unakabiliana nayo vip nikahairisha maana niliona nita expose weakness yangu 😃😃sasa yametimia

Screenshot_20250521-094726.png

Screenshot_20250521-100323.png
 
Ile ni back four maan Tchoumen analud wanakua wanne😃😃😃


Back 3 itanilazimu nicheze na striker mmoja baadae mkuu utakuja nijaribu kucheza kwa 4-1-2-3

Bila kuwa na wingers aah sitoboi hii
Nikikutana na mtu anatumia striker wawili na through ball nampa Tchou deepline ili adili na through ball😃.
 
NEGAN mkuu huu mfumo ndo ulikua una wasiwasi nao😃😃

Eniwei back 3 inanisumbua sana asubuhi nilitaka nikuulize je back 3 unakabiliana nayo vip nikahairisha maana niliona nita expose weakness yangu 😃😃sasa yametimia

View attachment 3340743
View attachment 3340745
Strength yako ipo kwenye AMF. Mtu akiwaziwia wasitembee na mpira hutengenezi nafasi kabisa.
 
NEGAN mkuu huu mfumo ndo ulikua una wasiwasi nao😃😃

Eniwei back 3 inanisumbua sana asubuhi nilitaka nikuulize je back 3 unakabiliana nayo vip nikahairisha maana niliona nita expose weakness yangu 😃😃sasa yametimia

View attachment 3340743
View attachment 3340745
Weakness ya 4222 ni wide positions. Na hii formation yangu 3133 ina overload pembeni. Ukitaka kuifunga back 3 vizuri kaa na mali turn halafu uwe good passer.
 
Nikikutana na mtu anatumia striker wawili na through ball nampa Tchou deepline ili adili na through ball😃.
yeah maana nilikuwa nikipiga nikassume hapa itawavuka nashangaa Tchou huyu hapa kakamata mali... Imagine through hazipiti na ndo unazitegemea...😃😃ilikuwa kasheshe leo
 
Back
Top Bottom