eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Utaniletea mifumo mingapi sasa itakayokusumbua maana huu mfumo wa pili sasa unaniletea 😂

Mfumo wowote ule inategemea na mtumiaji pamoja na aina ya wachezaji utakaowatumia kwemye huo mfumo.
Me mchezo wako naujua😃😃unakufaa sana huu...

We jaribu there is no harm in trying😃😃
 
Huyu jamaa leo nilikuwa naenda nae vizuri sana ila kilichonishinda ni akipiga kona au krosi basi nahesabu goli.

Katika goli 7 alizoshinda mechi ya kwanza goli 4 zote ni kona na krosi, katika goli 5 za mechi ya pili goli 3 ni kona na krosi mpaka ikabidi nimuulize aisee maana hii zahma sasa 😂
IMG-20250519-WA0071.jpg


Huyu mwalimu anafundisha kwa vitendo na hiyo formation amenipa yeye 😂
 
Back
Top Bottom