Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,413
- 27,291
Hapana anapanga mali.. vizuri tuu si umeona mechi zote kanioutplay kanizid kila kituSasa huyu anabutua au? Defensive bars anawasha zote mpaka friendly 🤧
Hapana anapanga mali.. vizuri tuu si umeona mechi zote kanioutplay kanizid kila kituSasa huyu anabutua au? Defensive bars anawasha zote mpaka friendly 🤧
Duh nitajaribu nae nione hiyo playstyle yake 😄Hapana anapanga mali.. vizuri tuu si umeona mechi zote kanioutplay kanizid kila kitu
Friend match na ultra defensive mbona ngumu kumeza 😂Unaijua full blue wewe aka ultra Defensive ndo iliwashwa mzee me ningepita kwenda wap😃😃
Hatuchezi😃😃
Kuwasha ni nzuri sema unaonekana uko weak..Duh nitajaribu nae nione hiyo playstyle yake 😄
Kaka mpaka nimetumia possession game ndo nimeweza kubeat hiyo defensive alteast.. sio pow😃😃Friend match na ultra defensive mbona ngumu kumeza 😂
Sipo vizuri kwenye defense ndio maana huwa nafanya hivyo at least inakuwa solidSasa huyu anabutua au? Defensive bars anawasha zote mpaka friendly 🤧
Kuna msela wangu huwa nacheza nae ana mchezo kama huo, yeye kwenye kukaba mbovu ko anaingia na defence bar 1, beki na DMF 2 wale watatu wa mbele ni Mbappe, Villa na Vini 😂Sipo vizuri kwenye defense ndio maana huwa nafanya hivyo at least inakuwa solid
Lakini ndo hivyo nikikuotea chuma😅
Naomba tuguse night mkuu .. au vipi?Sipo vizuri kwenye defense ndio maana huwa nafanya hivyo at least inakuwa solid
Lakini ndo hivyo nikikuotea chuma😅
Wanataka kila mechi uwe serious ili usikubali kudondosha alama, kunazidi kuwa kugumu huko.Hatuchezi😃😃
Jipe muda wa kujiimarisha kwenye defense, ukiitumia hiyo sana huo udhaifu utakomaa zaidi.Sipo vizuri kwenye defense ndio maana huwa nafanya hivyo at least inakuwa solid
Lakini ndo hivyo nikikuotea chuma😅
Uhakika hivi user name lako ipi?Naomba tuguse night mkuu .. au vipi?
heisGilbertoUhakika hivi user name lako ipi?
Sasa kati yangu na wewe nani hayupo vzr kwenye kukaba 😃😃😃achen utani bhana😃😃Sipo vizuri kwenye defense ndio maana huwa nafanya hivyo at least inakuwa solid
Lakini ndo hivyo nikikuotea chuma😅
Afu kuna sisi wabovu kote kote😃😃Kuna msela wangu huwa nacheza nae ana mchezo kama huo, yeye kwenye kukaba mbovu ko anaingia na defence bar 1, beki na DMF 2 wale watatu wa mbele ni Mbappe, Villa na Vini 😂
Jamaa huwa ananifunga magoli mazuri mno mbovu kwenye defensive lakini akishambulia sasa mzuri mno kufunga.
Iv hakuna anayejua kustream game TikTok 😃😃Naomba tuguse night mkuu .. au vipi?
Division sichez tena mpaka nijione nipo kamili na nikifika division one sitocheza tena kabisa...Wanataka kila mechi uwe serious ili usikubali kudondosha alama, kunazidi kuwa kugumu huko.
Haha, hamna mbovu kote kaka unaeza ukawa na u bora mahali tu.Afu kuna sisi wabovu kote kote😃😃
Kucheza Aviator😃😃😃napiga ndege mnoHaha, hamna mbovu kote kaka unaeza ukawa na u bora mahali tu.