eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Vipi Owen ana maajabu gani kabla sijafanya maamuzi. Kuna jamaa nimekutana nae ana Owen kwenye league hajapiga shoot hata moja😅
Mwamba anapiga kazi bhana😃😃basi tu magoli ya pvp et hawahesabu... Sijui ila me ananipondea sana watu alafu ana speed kwa Qc ni mzuri mno..


Me ni mwendo wa through tuu..


Owen hana physical contact kwahiyo hawezi kukaa na mabeki eti atumie nguvu hapo utamshinda... We ni counter wakimbizane utamwona mzuri
 
Selikavu nimekagua kikosi changu vizuri nimekuta Anchor Man wanne, wawili wanafika 98, mmoja anafika 94 na huyo Rodri 99.
Me hata wa POTW wa 97 kwangu angeanza aseee except Rodri tuu wa standard...

Nahitaji Anchorman..

Nikipata wawili pale kati wakasimama😃😃😃 sijui mtapitia wapi...


Me sitomweka na Orchestor sijui amna... Ni kazi kazi Anchorman wawili kati wenye through passing basi
 
Me hata wa POTW wa 97 kwangu angeanza aseee except Rodri tuu wa standard...

Nahitaji Anchorman..

Nikipata wawili pale kati wakasimama😃😃😃 sijui mtapitia wapi...


Me sitomweka na Orchestor sijui amna... Ni kazi kazi Anchorman wawili kati wenye through passing basi
Uwe unapita kuangalia kule kwenye nominating contract.
 
Mwamba anapiga kazi bhana😃😃basi tu magoli ya pvp et hawahesabu... Sijui ila me ananipondea sana watu alafu ana speed kwa Qc ni mzuri mno..


Me ni mwendo wa through tuu..


Owen hana physical contact kwahiyo hawezi kukaa na mabeki eti atumie nguvu hapo utamshinda... We ni counter wakimbizane utamwona mzuri
Nimekutana na mtu ana Batistuta bhana halafu anacheza kama wewe akilitazama goli tu anatandika shuti 😂
 
Nimekutana na mtu ana Batistuta bhana halafu anacheza kama wewe akilitazama goli tu anatandika shuti 😂
Nimeshaamua namchukua Batistuta
Gq56_6sW8AAGQPQ.jpeg
 
Back
Top Bottom