eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Hivi kaka Selikavu Nini maana ya haya maneno chini ya Username zetu 😄

JF-expert member, senior member? Mana mi nilikuwa new member saivi nashangaa nimekuwa senior member afu hata sizielewi maana zake.
 
Hivi kaka Selikavu Nini maana ya haya maneno chini ya Username zetu 😄

JF-expert member, senior member? Mana mi nilikuwa new member saivi nashangaa nimekuwa senior member afu hata sizielewi maana zake.
Hizo ni Rank kaka kuonyesha una muda gani Jf...

Rank inapanda kutokana na idadi ya comment unazotoa na likes au reaction unazopata... Ambazo zinakuongezea point

Ukifika points 2000 unakuwa Jf Expert member japo kuna wengine hata point 1000 unakuwa Jf Expert member
 
Hizo ni Rank kaka kuonyesha una muda gani Jf...

Rank inapanda kutokana na idadi ya comment unazotoa na likes au reaction unazopata... Ambazo zinakuongezea point

Ukifika points 2000 unakuwa Jf Expert member japo kuna wengine hata point 1000 unakuwa Jf Expert member
Ah hapo sawa. Nimekuelewa kaka mkubwa
 
Sisi wengine hatutaki kufatilia haya mambo simu yenyewe Samsung A05.

Hapo utaanza kulag wewe na simu yako. Hivi nyinyi mnatumia simu gani?
Sasa wewe unatumia Samsung A05 unalalamika je mimi ambaye game nimeweka kwenye OPPO A15(Copy)😂
 
IMG-20250515-WA0045.jpg


Nataka nitest game plan nilizoweka, leo nataka kuanza na hii.
 
Sisi wengine hatutaki kufatilia haya mambo simu yenyewe Samsung A05.

Hapo utaanza kulag wewe na simu yako. Hivi nyinyi mnatumia simu gani?
😃😃😃😃Nipo na kitunzia line sio simu
 
Back
Top Bottom