eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Owen mbona kama wa mchongo at least torres ana nguvu
Hapana kaka umewasha full blue ndo maana hawezi onekana...

Game ya kwanza ambayo ulicheza bila full blue kakufunga na kakusumbua ila hizi zilizofata hapo utamuonea tuu hana physical contact maana muda wote yupo na mabeki...hapati nafasi ikabid niwe namtumia tuu torres
 
Hapana kaka umewasha full blue ndo maana hawezi onekana...

Game ya kwanza ambayo ulicheza bila full blue kakufunga na kakusumbua ila hizi zilizofata hapo utamuonea tuu hana physical contact maana muda wote yupo na mabeki...hapati nafasi ikabid niwe namtumia tuu torres
Sema physical contact inasaidia sana. Owen anakuwa vizuri mpaka asiguswe na beki
 
Leo meingia tuu kwenye game asubuhi nikapata invite ya Mill broh nikaona okay hii ndo nzuri kichwa kimetulia nguvu ipo acha nikacheza mpira...

Game ya kwanza nikambahatisha
Screenshot_20250516-092404.png

Kilichofata baada ya hapo ni huzuni
Screenshot_20250516-093917.png
Screenshot_20250516-095548.png
Screenshot_20250516-101113.png



Baada ya kufungwa Nne nikaona hapa nisipojiongeza nitakula week nikaona solution ya haraka haraka nibadili nitoke kucheza Quick Counter niende possession maana game mzee anawasha full blue game ikianza na mnajua mpira wangu ni wa kuvizia😃😃

Atleast hii ikanilipa nikashinda game moja
Screenshot_20250516-110314_1.jpg


Ya pili mwishoni nilipigiwa simu ila nilikuwa naongoza mbili bila
Screenshot_20250516-104158.png


Mzee Mill broh nionee huruma basi uwe unawasha hata moja inanitosha😃😃😃
 
Hapana kaka umewasha full blue ndo maana hawezi onekana...

Game ya kwanza ambayo ulicheza bila full blue kakufunga na kakusumbua ila hizi zilizofata hapo utamuonea tuu hana physical contact maana muda wote yupo na mabeki...hapati nafasi ikabid niwe namtumia tuu torres
Kama unae Drogba muweke acheze na Owen nahisi itakuwa pacha nzuri, nafikiria kufanya hivyo.
 
Leo meingia tuu kwenye game asubuhi nikapata invite ya Mill broh nikaona okay hii ndo nzuri kichwa kimetulia nguvu ipo acha nikacheza mpira...

Game ya kwanza nikambahatishaView attachment 3335916
Kilichofata baada ya hapo ni huzuniView attachment 3335918View attachment 3335920View attachment 3335921


Baada ya kufungwa Nne nikaona hapa nisipojiongeza nitakula week nikaona solution ya haraka haraka nibadili nitoke kucheza Quick Counter niende possession maana game mzee anawasha full blue game ikianza na mnajua mpira wangu ni wa kuvizia😃😃

Atleast hii ikanilipa nikashinda game mojaView attachment 3335927

Ya pili mwishoni nilipigiwa simu ila nilikuwa naongoza mbili bila
View attachment 3335923

Mzee Mill broh nionee huruma basi uwe unawasha hata moja inanitosha😃😃😃
Hizo mechi 2 sasa shuti 1 tu na shuti lenyewe ni off target 😂
 
Leo meingia tuu kwenye game asubuhi nikapata invite ya Mill broh nikaona okay hii ndo nzuri kichwa kimetulia nguvu ipo acha nikacheza mpira...

Game ya kwanza nikambahatishaView attachment 3335916
Kilichofata baada ya hapo ni huzuniView attachment 3335918View attachment 3335920View attachment 3335921


Baada ya kufungwa Nne nikaona hapa nisipojiongeza nitakula week nikaona solution ya haraka haraka nibadili nitoke kucheza Quick Counter niende possession maana game mzee anawasha full blue game ikianza na mnajua mpira wangu ni wa kuvizia😃😃

Atleast hii ikanilipa nikashinda game mojaView attachment 3335927

Ya pili mwishoni nilipigiwa simu ila nilikuwa naongoza mbili bila
View attachment 3335923

Mzee Mill broh nionee huruma basi uwe unawasha hata moja inanitosha😃😃😃
Sasa huyu anabutua au? Defensive bars anawasha zote mpaka friendly 🤧
 
Back
Top Bottom