Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 15,074
- 33,784
Raha ya game unbalance ushinde na ufungwe pia😃😃Leo sina mpango wa kucheza na wewe labda akosekane mtu, tukiingia room tunacheza mpaka tunajisahau kama kuna wengine wanataka friend match pia 😂