eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Amrabat kipara 😂
Huyo Amrabat nataka nijue possession game kwanza alafu aje sasa ataona😃😃maana nguvu simuwezi atakuwa anazungushwa tuu...

Ndo maana nakomaa na Guilberto master of possession game nikijua basi wewe tukicheza njoo na LBC Yako nakuja nA Possession game😃😃alo weee..


Japo possession game ya kingese wachezaji hawafungui mbele wanafata mali ilipo nimekula chuma nne huko game ya kwanza

Picha baadae😃😃
 
Huyo Amrabat nataka nijue possession game kwanza alafu aje sasa ataona😃😃maana nguvu simuwezi atakuwa anazungushwa tuu...

Ndo maana nakomaa na Guilberto master of possession game nikijua basi wewe tukicheza njoo na LBC Yako nakuja nA Possession game😃😃alo weee..


Japo possession game ya kingese wachezaji hawafungui mbele wanafata mali ilipo nimekula chuma nne huko game ya kwanza

Picha baadae😃😃
Nitajie timu kubwa ambayo bado inatumia hiyo tactic kwa zama hizi 😂
 
Huyo Amrabat nataka nijue possession game kwanza alafu aje sasa ataona😃😃maana nguvu simuwezi atakuwa anazungushwa tuu...

Ndo maana nakomaa na Guilberto master of possession game nikijua basi wewe tukicheza njoo na LBC Yako nakuja nA Possession game😃😃alo weee..


Japo possession game ya kingese wachezaji hawafungui mbele wanafata mali ilipo nimekula chuma nne huko game ya kwanza

Picha baadae😃😃
Afu yule kocha wa Possession sikuwa nimemtumia kama miezi minne saivi. Hizi wiki 2 hapa nimetokea kumpenda kila nikicheza hata nifungwe simtoi 😄
 
Afu yule kocha wa Possession sikuwa nimemtumia kama miezi minne saivi. Hizi wiki 2 hapa nimetokea kumpenda kila nikicheza hata nifungwe simtoi 😄
Me possession game kuna kitu ambacho ni tofauti na mifumo mingine nimekiona siku hizi ngapi ninapocheza na watu wengine...


Me alonso ana Possession game 88 na Quick counter 88 kwahiyo nashift tu huku ama huku😃
 
Back
Top Bottom