eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Hii card jau sasa😃nilishangilia nimepata pacha wa Pedri kumbe hola
Screenshot_20250515-170719.png
 
Huyu mbona mchovu sana 😂
Yan nilishangilia maana nikikumbuka Musiala wako anapiga sana kazi...

Sema sio mbaya nimechukua Mac allister wa nominating character

Card ya kane ya pale usijloge ukaiacha ile ya nominating character tuliyopewa mwezi ulioisha

Kane wa nominating ana one touch pass pamoja na through passing huyu hola
 
Yan nilishangilia maana nikikumbuka Musiala wako anapiga sana kazi...

Sema sio mbaya nimechukua Mac allister wa nominating character

Card ya kane ya pale usijloge ukaiacha ile ya nominating character tuliyopewa mwezi ulioisha

Kane wa nominating ana one touch pass pamoja na through passing huyu hola
Mbona hiyo card ya Kane ninayo kitambo tu.
 
Yan nilishangilia maana nikikumbuka Musiala wako anapiga sana kazi...

Sema sio mbaya nimechukua Mac allister wa nominating character

Card ya kane ya pale usijloge ukaiacha ile ya nominating character tuliyopewa mwezi ulioisha

Kane wa nominating ana one touch pass pamoja na through passing huyu hola
Vipi Owen ana maajabu gani kabla sijafanya maamuzi. Kuna jamaa nimekutana nae ana Owen kwenye league hajapiga shoot hata moja😅
 
Back
Top Bottom