eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

😃😃Game ya kwanza umetoa boko magoli manne😃😃na hapo kuna maboko nimekosa🤣🤣
Haya maboko imekuwa mtihani kwangu, mechi ya 3 maboko pia nikawa nikipoteza sikabi tena, kumfukuzia Owen ni kujidanganya 😂
 
Jana hiyo Efootball masaa saba😃😃😃

Screenshot_20250515-001828.png
8
 
Haya maboko imekuwa mtihani kwangu, mechi ya 3 maboko pia nikawa nikipoteza sikabi tena, kumfukuzia Owen ni kujidanganya 😂
Shida yako nyingine ukishafungwa mbili ni kama unapoteana😃😃unatoka mchezoni kabisa maboko yanaanza
 
Aah deepline mzee muhimu mimi kwa sababu sina Anchorman De jong lazima ale Deepline ndo maana nacheza double Pivot
Ndo nilisahau sasa yani baada ya game ya 3 ndo nikaenda kuangalia, baada ya hapo Owen kapata tabu sana 😂
 
Back
Top Bottom