NEGAN
JF-Expert Member
- May 12, 2023
- 1,764
- 4,272
Hamza siwezi kukupia ushakua monster kwenye kukaba😀🙌😃😃Mbona kama unataka kunipiga hamsa kaka🤣
Hamza siwezi kukupia ushakua monster kwenye kukaba😀🙌😃😃Mbona kama unataka kunipiga hamsa kaka🤣
Nakata over Bergkamp ana kila kitu speed, balance, kukaa na mali, pass, kicking power.Kati ya Nakata na Bergkamp unaenda na nani mkuu??
Huyu nitapita nae sasaNakata over Bergkamp ana kila kitu speed, balance, kukaa na mali, pass, kicking power.
😃😃Master wap kaka bado natoboka mnoHamza siwezi kukupia ushakua monster kwenye kukaba😀🙌
Tabulele 😂
Anachonikera mimi yani yeye akilitazama goli tu anapiga shuti 😂Nimegundua jinsi ya kukufunga
Sitakiwi kucheza mpira mzuri dhidi yako kutumia mawinga sijui nini. Pia sitakiwi kupoteza mpira kati kati ya uwanja maana ukiupata mpira kati kati pedri/ De jong anapiga through ball moja kwa Torres/Mbappe/Owen kisha wana turn then boom😀.
Solution ni kutumia mipira mirefu na through ball kwa ma forward wangu pia ku overload forward kwa kutumia striker watatu ambao huwezi ku wa mark wote.
Tumfundishe wenyewe na sasa anatuletea kiburi 😂Oya mechi yote unatakiwa uwe active 😀🙌
Anapiga na skill moves sasa hivi😀Tumfundishe wenyewe na sasa anatuletea kiburi 😂
Ananifanya nikiwa naenda nae uwanjani niwaze kuzuia kuliko kushambulia 😂Anapiga na skill moves sasa hivi😀
Nakushauri cheza formation kama yake 4222 ni formation nzuri sana ime balance kwenye kuzuia na kushambuliaAnanifanya nikiwa naenda nae uwanjani niwaze kuzuia kuliko kushambulia 😂
Shukrani mkuu ila usiwe na shaka hii formation nayotumia sasahivi itakaa tu, Selikavu mwenyewe anaikubali.Nakushauri cheza formation kama yake 4222 ni formation nzuri sana ime balance kwenye kuzuia na kushambulia
Na nikimpata Batistuta nitakuwa napiga nimegeukia popote🤣🤣🤣Anachonikera mimi yani yeye akilitazama goli tu anapiga shuti 😂
Kiburi gan😃😃mbona nafungwa kila siku humuTumfundishe wenyewe na sasa anatuletea kiburi 😂
Mkuu mkuu usinchomeshe kwa Rival wangu...😃😃😃Anapiga na skill moves sasa hivi😀
Wewe mbona tunaendaga toe toe wote😃😃Ananifanya nikiwa naenda nae uwanjani niwaze kuzuia kuliko kushambulia 😂
Anaiponda huyo hawezi cheza....Nakushauri cheza formation kama yake 4222 ni formation nzuri sana ime balance kwenye kuzuia na kushambulia