eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Aisee kweli nimemjaribu drogba wa my league jamaa ni mzito kinoma alafu naambiwa anafanana na Batistuta.

Mpaka sahizi sijapata uchaguzi bado
Mie huwa naenda kutazama video kwa Mednasah(YouTube) kabla sijafanya uamuzi.

Ila bado naenda na Batistuta, siwezi acha phenomenal finishing mimi hayo mengine nitajua nafanyaje nikiwa nae 😂.
 
Naona Batistuta wana mkataa kwenye mfumo wangu😂ila mwaka wa kuforce atakaa tu
Kuna video jamaa mmoja amepost reddit anasema alikuwa anacheza mechi ya dvn alikuwa anaongozwa 3-0 ila kwa msaada wa Batistuta akapiga comeback na goli zote kashinda yeye na playstyle yake ni QC.
 
Kwenye selection Owen anipitie mbali labda wanipe kwenye free spin 😂
Namna unavyomwangalia Owen kwenye selection

Mchek Heche hapo😃😃
GqwqAveWQAAMxaf.jpeg
 
Wakuu nimekuja na majibu ya hii selection nimechoma bando huko YouTube kwaajili yao 😂.

Kama una David Villa(104) haina haja ya kumchagua Owen na kama una Fernando Torres yule wa coins 500 basi haina haja ya kumchagua Batistuta kwa sababu aina ya uchezaji wao inafanana.

Nimebadiri gia angani, Torres ninae kwahiyo naondoka na Owen 😂
 
Wakuu nimekuja na majibu ya hii selection nimechoma bando huko YouTube kwaajili yao 😂.

Kama una David Villa(104) haina haja ya kumchagua Owen na kama una Fernando Torres yule wa coins 500 basi haina haja ya kumchagua Batistuta kwa sababu aina ya uchezaji wao inafanana.

Nimebadiri gia angani, Torres ninae kwahiyo naondoka na Owen 😂
View attachment 3332973
Semeni moja basi😃😃😃me nachukua notes mjue
 
Back
Top Bottom