eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Mie natapatapa tu sasahivi mpaka nikae sawa nishapigika sana 😂
Huu me nakussuport utashika vizuri kwa sababu upp balanced unakupa watu wengi kushambulia na pia katikati wapo..

Pia huu haujapishana sana na 4-3-1-2 kwa hiyo hautokusumbua sana... Hapo ni kutafuta mbdala wa Messi tuu
 
Alhamisi hiyo, Quick counter 89 😀
1000025097.jpg
1000025093.jpg
1000025094.jpg
 
Mna ushawishi hadi naanza ku question choice yangu ya Owen😃
😂😂 hamna kaka we nenda na chaguo lako tu.. mana huyo Bastituta kanyimwa mwendo, Owen kama kipanga akipata mpira

Nimechezesha pacha ya David Villa na Owen niliipenda bure nilienda game 9 straight division matches pale bila lose wala sare.
 
😂😂 hamna kaka we nenda na chaguo lako tu.. mana huyo Bastituta kanyimwa mwendo, Owen kama kipanga akipata mpira

Nimechezesha pacha ya David Villa na Owen niliipenda bure nilienda game 9 straight division matches pale bila lose wala sare.
Dah ngoja tuone kama tutaambulia chochote kwenye selection 😃
 
😂😂 hamna kaka we nenda na chaguo lako tu.. mana huyo Bastituta kanyimwa mwendo, Owen kama kipanga akipata mpira

Nimechezesha pacha ya David Villa na Owen niliipenda bure nilienda game 9 straight division matches pale bila lose wala sare.
Aisee kweli nimemjaribu drogba wa my league jamaa ni mzito kinoma alafu naambiwa anafanana na Batistuta.

Mpaka sahizi sijapata uchaguzi bado
 
Back
Top Bottom