eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Ngoja nimjaribu Owen wa my league nione anachezaje kama ata fit timu yangu nimsajili
Screenshot_20250511_164639_eFootball.jpg
 
Oya wakuu leo nimekuwa na bahati mno, nina acc mbili nimeingia mchana kucheza events nikaspin nikampata Owen 😄 hapo hapo nikaswitch kwenye acc nyingine kaupepo kasiishe 🤣 nikaenda kucheza events spin 2 nikampata Bastituta daah hapa sina kesi nao tena
 

Attachments

  • eFootball™_2025-05-11-13-36-13.jpg
    eFootball™_2025-05-11-13-36-13.jpg
    1.2 MB · Views: 6
  • Screenshot_20250511_130353.jpg
    Screenshot_20250511_130353.jpg
    1.2 MB · Views: 4
Ngoja tuone ila ukitaka kutumia dmf mmoja inafaa Anchorman au orchestrator. Box to box anazurura sana kuna shimo hapo kati kubwa😃 kumbuka hao LMF na RMF wanapanda wanamuacha Amrabat peke yake na
Mkuu kwenye kuchezesha DMF mmoja orchestrator ndo hovyo kabisa.

Mtu anaetumia possession game akiwa na DMF orchestrator haitakuwa na shida ila kwa QC na LBC B2B au anchorman ndo wanafaa.

Napenda kutumia B2B sababu anapanda na kushuka kwa wakati bila kuchoka.

Mechi kadhaa nilizocheza na Selikavu alimuona Amrabat juu nikiwa nashambulia na chini akiwa ananishambulia.
 
Mkuu kwenye kuchezesha DMF mmoja orchestrator ndo hovyo kabisa.

Mtu anaetumia possession game akiwa na DMF orchestrator haitakuwa na shida ila kwa QC na LBC B2B au anchorman ndo wanafaa.

Napenda kutumia B2B sababu anapanda na kushuka kwa wakati bila kuchoka.

Mechi kadhaa nilizocheza na Selikavu alimuona Amrabat juu nikiwa nashambulia na chini akiwa ananishambulia.
Mzee wa box to box😃 najuta kumchua Kolo Muani kila siku ana D form😃
 
Back
Top Bottom