Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,153
- 10,394
Jamaa anaona sifa kukaba 😂Unaumia nini sasa??View attachment 3331337
Jamaa anaona sifa kukaba 😂Unaumia nini sasa??View attachment 3331337
Jamaa anaona sifa kukaba 😂
Mashine ya kazi 😃Chaguo lake la kwanza ni Owen.
Inauma sana choice hizi😃Anakufinish wewe sasa 😂
Mie nikikutana na mtu ana Bastoni huwa naumia roho 😂
Nakuja kutest mfumo.
Finishing kazidiwa na Batistuta.Mashine ya kazi 😃View attachment 3331343
Mimi kwenye hii ya sasa naondoka na Batistuta aisee.Inauma sana choice hizi😃
TwendeNakuja kutest mfumo.
Hapa nawaza nimchukue nani ni vita ya balance,tight possession, ball control vs physical contact, jump finishingFinishing kazidiwa na Batistuta.
Mkuu embu isogeze na ya BatistutaMashine ya kazi 😃View attachment 3331343
Batistuta ana phenomenal finishingHapa nawaza nimchukue nani ni vita ya balance,tight possession, ball control vs physical contact, jump finishing
Huyo mkongwe huyo Oliver khan wa mwaka 2020 huko😃 lazima awe masterUkisikia kwamba kikosi hakichezi ni huyu jamaa...
Nilikutana nae kwenye group moja la Whatsapp la Efootball message yake huwa ni hii anatuma group akitaka kwenda Friend match na mtu View attachment 3331342
Siku moja nikamwambia twende mkuu... Kama kawaida nikacheki kikosi chake kabla ya game nakuta anatumia Possession game na kikosi chake ni 3050View attachment 3331344
Nikasema Yes huyu napiga😃😃kuingia uwanjani nilitoka jasho... Jamaa anajua kukaba, kudreble, kupiga pasi na kufunga
Kuja kumchek jamaa ashafika na division 1
View attachment 3331345
Nikahisi anatumia Padi maana niliteseka na kufungwa za kutosha kama kawaida matokeo bila picha ni uzushi🤣🤣🤣View attachment 3331346
Nikamchek jamaa yupo peace tuu tupiga story akaniambia kaanza kulicheza 2022 alikuwa anajifunza mdogo mdogo mpaka alipofikia hapo...
Kama kawaida nikasema huyu ataniongezea kitu acha niwe nakomaa nae akipata time tunaenda😃😃...
Juzi kati nikamfunga sema alisema concentration ilikuwa ndogo maana alikuwa kazin😃😃hata mimi niliona maana jamaa ni anakaba adi vivuli🤣🤣🤣
Mwisho hili game vikosi havichezi swala kubwa ni wewe unajua kucheza au vindege kama vyangu...
Nishajiona nina safari ndefu sana
Nilisahau kumwelezea na ukifika Golini kufunga mpka uwe umekajanyaga mafuta ya mwamposa🤣🤣🤣Huyo mkongwe huyo Oliver khan wa mwaka 2020 huko😃 lazima awe master
Huyu wa kuishi nae
Hata mimi huwa naiona hiyo text jamaa hana mbwembwe text yake ni hiyohiyo kila siku 😂Ukisikia kwamba kikosi hakichezi ni huyu jamaa...
Nilikutana nae kwenye group moja la Whatsapp la Efootball message yake huwa ni hii anatuma group akitaka kwenda Friend match na mtu View attachment 3331342
Siku moja nikamwambia twende mkuu... Kama kawaida nikacheki kikosi chake kabla ya game nakuta anatumia Possession game na kikosi chake ni 3050View attachment 3331344
Nikasema Yes huyu napiga😃😃kuingia uwanjani nilitoka jasho... Jamaa anajua kukaba, kudreble, kupiga pasi na kufunga
Kuja kumchek jamaa ashafika na division 1
View attachment 3331345
Nikahisi anatumia Padi maana niliteseka na kufungwa za kutosha kama kawaida matokeo bila picha ni uzushi🤣🤣🤣View attachment 3331346
Nikamchek jamaa yupo peace tuu tupiga story akaniambia kaanza kulicheza 2022 alikuwa anajifunza mdogo mdogo mpaka alipofikia hapo...
Kama kawaida nikasema huyu ataniongezea kitu acha niwe nakomaa nae akipata time tunaenda😃😃...
Juzi kati nikamfunga sema alisema concentration ilikuwa ndogo maana alikuwa kazin😃😃hata mimi niliona maana jamaa ni anakaba adi vivuli🤣🤣🤣
Mwisho hili game vikosi havichezi swala kubwa ni wewe unajua kucheza au vindege kama vyangu...
Nishajiona nina safari ndefu sana
😃😃Yeye hapo kamalizaHata mimi huwa naiona hiyo text jamaa hana mbwembwe text yake ni hiyohiyo kila siku 😂
Sikuoni.Twende