eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Sasa natulizana na huu mfumo mazima.
👇
IMG-20250511-WA0024.jpg
 
Hakuna magoli mengi hapo mkuu, uzuri wa huu mfumo unakuwa na idadi kubwa kuzuia na idadi kubwa kushambulia.

Nilichofanya hapo ni kumsogeza AMF kwenye eneo la SS.
Ngoja tuone ila ukitaka kutumia dmf mmoja inafaa Anchorman au orchestrator. Box to box anazurura sana kuna shimo hapo kati kubwa😃 kumbuka hao LMF na RMF wanapanda wanamuacha Amrabat peke yake na
 
Back
Top Bottom