eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Tulikubaliana kwenye dvn tutacheza haram football bila kujali mpinzani atakuwaje.
Mtu anayecheza na smart assist ni kazi kumkaba we hujui tu😃 umeziba njia zote vizuri mara AI inapiga pass ya juu ghafla 😃 unataka kupiga tackle AI inamsaidia ku dribble kama Messi.


Ilitakiwa wanotumia smart assist wacheze na wenzao wanaotumia smart assist
 
Mtu anayecheza na smart assist ni kazi kumkaba we hujui tu😃 umeziba njia zote vizuri mara AI inapiga pass ya juu ghafla 😃 unataka kupiga tackle AI inamsaidia ku dribble kama Messi.


Ilitakiwa wanotumia smart assist wacheze na wenzao wanaotumia smart assist
Me nimezima imenishinda😃😃😃
 
Mwambie aache ubahili atoe buku 2 hiyo😃
Hawezi huyu😃
GqL_14sWwAAePLm.jpeg
 
Back
Top Bottom