Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,415
- 27,295
Chukua Username yake iwe rahisi...11660216
Chukua Username yake iwe rahisi...11660216
😅 magoli fulani hivi unafungwa mpaka unachukia tuUzur magoli ya smart assist yanaonekana😃😃
Sheria ni MATOKEO KWA PICHA na kauli mbiu ni ileile “Matokeo bila picha ni uzushi”Mill broh ngoja nimalizane na gilberto tuguse
Kashafika, afu kumbe nina urafiki nae tu na sikujuaChukua Username yake iwe rahisi...
Tayari twende11660216
Hawanipati, DMF orchestrator simtaki 😂Waungishe bhana 😃😃😃 Guardiola mzuri yule😃😃
Angekuwa anchorman au box to box huenda angenishawishi 😂Mwambie aache ubahili atoe buku 2 hiyo😃
Nime achana na dvn mapicha picha mengi sipati kandanda la pass pass kutafutana 😅😅Pole sana mkuu😃😃 watu wa smart assist wanakusumbua mno
Unakuta mtu kakuwekea mfumo umeumba herufi U 😂😃😃😃Watu wamevurugwa mno
😂 Draw zote hizo ulikiwa umesinzia?Me ELeague ya Ai leo nimedraw game zote 10 huko
Yanakera mno😃😃😅 magoli fulani hivi unafungwa mpaka unachukia tu
Aah mtatuletea mrejesho mkiwa na nguvu bado nitakuwepo twendeKashafika, afu kumbe nina urafiki nae tu na sikujua
Acha ubahili kaka🤣🤣Hawanipati, DMF orchestrator simtaki 😂
Unapenda sana box to Box.. sema box to Box midfield wazuri ni Amrabat wako wa booster mbili na Kante basi😃😃😃Angekuwa anchorman au box to box huenda angenishawishi 😂
Tukomae na friend match tuu hakuna namna😃😃Nime achana na dvn mapicha picha mengi sipati kandanda la pass pass kutafutana 😅😅
🤣🤣Kuna jamaa alinicholea L kabisa🤣🤣Unakuta mtu kakuwekea mfumo umeumba herufi U 😂
Division 3 ya Ai sio pow🤣🤣🤣😂 Draw zote hizo ulikiwa umesinzia?