eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Wakuu anafaa nichome coins au niachane nae?
👇
IMG-20250505-WA0102.jpg
 
Ila haram Football ni hatare naomba tu niishike vizuri..

Game ya kwanza nimejikuta naenda toe toe na huyu jamaa kanipiga tano😃nunge na bila shoot hata moja
Screenshot_20250507-101757.png

Game ya pili nimeingia tena hvyo hivyo jamaa akanipiga nne kipind cha kwanza 😃😃😃nikasema imeisha hapa nizuie tuu
Nikaanza haram Football kilichotokea🙌jamaa hajaamini kabisa na kikosi chake cha 3150
Screenshot_20250507-101740.png

Nilichogundua uwanjani kazi yangu ni kukaba tuu basi😃😃na kuongojea nafasi mpira mzuri nauacha😃😃
 
Ila haram Football ni hatare naomba tu niishike vizuri..

Game ya kwanza nimejikuta naenda toe toe na huyu jamaa kanipiga tano😃nunge na bila shoot hata moja
View attachment 3326692
Game ya pili nimeingia tena hvyo hivyo jamaa akanipiga nne kipind cha kwanza 😃😃😃nikasema imeisha hapa nizuie tuu
Nikaanza haram Football kilichotokea🙌jamaa hajaamini kabisa na kikosi chake cha 3150View attachment 3326694
Nilichogundua uwanjani kazi yangu ni kukaba tuu basi😃😃na kuongojea nafasi mpira mzuri nauacha😃😃
Idumu haram football idumu😃
 
Ila haram Football ni hatare naomba tu niishike vizuri..

Game ya kwanza nimejikuta naenda toe toe na huyu jamaa kanipiga tano😃nunge na bila shoot hata moja
View attachment 3326692
Game ya pili nimeingia tena hvyo hivyo jamaa akanipiga nne kipind cha kwanza 😃😃😃nikasema imeisha hapa nizuie tuu
Nikaanza haram Football kilichotokea🙌jamaa hajaamini kabisa na kikosi chake cha 3150View attachment 3326694
Nilichogundua uwanjani kazi yangu ni kukaba tuu basi😃😃na kuongojea nafasi mpira mzuri nauacha😃😃
Kaka huyu si ndio mimi mbona nimepigika kipigo kitakatifu hivyo😅🙌
 
Back
Top Bottom