eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Amenionea sana huyu jamaa😃😃😃leo nikasema hatoki
Umejua kuzuia njia mkuu hukua na utani ukipokonya mpira cha kwanza ni clear halafu match up ukilitazama goli tu ni shoot.

Ila back pass zako kwa kipa zinakera sana 😂.
 
Okay kauli mbiu ni matokeo bila picha ni Uzushi😃😃

Siku ya jana nilianza na Mr Devil

Tokeo ni kama hili hapaView attachment 3324421

Leo nikacheza na Master of Haram Football... NEGAN
Usipocheza Haram Football hapa hutoboi😃😃maana hata magoli yenyewe nimefunga ya papatu papatu
View attachment 3324423

Baadae nikaja kwenye mtani wangu wa siku zote wewe hapo
Kijana wa Gasperini mwenyewe

Nilisema mchezo wangu na wako smart assist ndo inanifanya kila siku nastruggle leo nikawasha and nilikuwa nangojea moment hii😃😃😃

Hii match imekuuma mno😃😃😃ila ndo hvyo kaka pole
View attachment 3324428
Nyingine hizi hapa
View attachment 3324429View attachment 3324430View attachment 3324431
View attachment 3324427


Ila ukwel game zako leo tumesumbuana hata kama nimeshinda nimehangaika sana na Drogba wako

Eniwei sijalipa kisasi bado unaongoza ulishanipiga sita hicho siwezi kulipa🙌🔥

Nilud sasa kucheza kawaida niachane na smart assist
LBC imenichoma sana leo, mechi nilizotumia LBC zote nimefungwa.

Mechi niliyotumia QC na kufungwa ni hiyo ya 3-1.

Hii LBC inabidi niifanyie kazi ya ziada.

Pia hujanifunga kwa sababu ya smart assist, huo ni uwezo wako mkuu.

Hongera kwa ushindi.
 
Mr Devil umepigwa hamsa mkuu😃
😂asee mwamba ana teleza tu kila napo peleka pass yupo .afu niki angalia kikosi chake na anavyo cheza nikawa sielewi
4-3-1-2 ina kaudhaifu kwenye kufanya transition na ndo Allianza nayo 😃
Nili badili nikarudi 4-3-3 kidogo match ikatulia ,nimejaribu kutumia iyo smart assist leo ila sija ielewa inavyo fanya kazi
 
Umejua kuzuia njia mkuu hukua na utani ukipokonya mpira cha kwanza ni clear halafu match up ukilitazama goli tu ni shoot.

Ila back pass zako kwa kipa zinakera sana 😂.
Haraam football ilikuwa to the climax leo...
Nilikuwa naenjoy kukaba leo 😃😃

Kaa na mpira nakuongojea uje nikikaba tu counter 😃😃
 
LBC imenichoma sana leo, mechi nilizotumia LBC zote nimefungwa.

Mechi niliyotumia QC na kufungwa ni hiyo ya 3-1.

Hii LBC inabidi niifanyie kazi ya ziada.

Pia hujanifunga kwa sababu ya smart assist, huo ni uwezo wako mkuu.

Hongera kwa ushindi.
Asante kaka🙏


Mchezo wangu unaujua tumecheza mechi nyingi sana...

Leo nimecheza na wewe comfortable kabisa sababu ya smart assist


Sema unaenda offline tuu next games ningecheza nikiwa nimezima uone...

Nasema kila siku weakness ni kwenye direction ya pasi na upokeaji wa mipira na kukadilia pass weakness ambazo smart assist kwangu inazitibu😃😃😃
 
😂asee mwamba ana teleza tu kila napo peleka pass yupo .afu niki angalia kikosi chake na anavyo cheza nikawa sielewi

Nili badili nikarudi 4-3-3 kidogo match ikatulia ,nimejaribu kutumia iyo smart assist leo ila sija ielewa inavyo fanya kazi
😃😃😃Unacheza na striker mmoja lazima uone haina manufaa.. ila ukiwa na striker wawili ukipiga through huku nyuma ni pasi mbili tu goli😃
 
Niliona hicho kitu😃sema nimekosa sana 1v1
Umenizuia sana leo kupiga nikiwa ndani ya box ndiyomaana hata shots kwangu zimekuwa chache, umenisoma vyema kwamba nikiingia ndani ya box ndo huwa napiga 😂.

Hongera kwa mara nyingine 😂.
 
Haraam football ilikuwa to the climax leo...
Nilikuwa naenjoy kukaba leo 😃😃

Kaa na mpira nakuongojea uje nikikaba tu counter 😃😃
Umenizibia njia mpaka nilikuwa nasema huku nacheka “huyu jamaa leo kanikamia”
😂😂😂
 
Asante kaka🙏


Mchezo wangu unaujua tumecheza mechi nyingi sana...

Leo nimecheza na wewe comfortable kabisa sababu ya smart assist


Sema unaenda offline tuu next games ningecheza nikiwa nimezima uone...

Nasema kila siku weakness ni kwenye direction ya pasi na upokeaji wa mipira na kukadilia pass weakness ambazo smart assist kwangu inazitibu😃😃😃
Kuna namna nataka nifanye hapa ili niendelee kuwa online tuwe tunagusa, huo mpira uliocheza leo huwa nahangaika sana kupata matokeo nikikutana na mpira wa hivyo.
 
😃😃😃Unacheza na striker mmoja lazima uone haina manufaa.. ila ukiwa na striker wawili ukipiga through huku nyuma ni pasi mbili tu goli😃
Mchezaji anayeongoza kwa kupiga pasi kwenye timu yako ni kipa 😂.
 
1000019908.jpg

Daah kwa tabu sana.maana kila ikibaki game moja ndo unafungwa😅
1000019909.jpg
 
Back
Top Bottom