eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Nitafute kwa muda wako😃😃😃otherwise utafungwa mpaka uhame uwanja🤣🤣🤣🤣(Jokes)


Natania bhana me mwenyewe nashindaga bahati nasibu tuu game nzima kazi yangu ni kukaba
Upo tuguse?
 
Kuna siku Razorblade kanipiga sita sijui 😃😃nashangaaa tu akienda golini kwangu goli ..


Afu nakuja humu nashangaa wewe unamfunga anaapa kulipa kisasi🤣🤣🤣sasa najiuliza mechi zangu na wewe huwa unanilegezea kwa sababu ya ugen au la🤣🤣
Hamna kuna namna unacheza na mimi ninavyokaba vinakinzana tactic yangu haitanyi kazi kwako.
 
Amekupiga? 😃
We acha tu mkuu 😂, anaziba njia mkuu sijui kajifunzia wapi, anapiga mashuti balaa 😂.

Ataleta tu matokeo hapa huyu mpinzani wangu furaha yake ni kunifunga na leo kafanikiwa, sijui analala anacheza game huyu 😂.
 
We acha tu mkuu 😂, anaziba njia mkuu sijui kajifunzia wapi, anapiga mashuti balaa 😂.

Ataleta tu matokeo hapa huyu mpinzani wangu furaha yake ni kunifunga na leo kafanikiwa, sijui analala anacheza game huyu 😂.
Kajifunza match up 😃
 
Back
Top Bottom