eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Matokeo bila picha ni uzushi 😂.
Okay kauli mbiu ni matokeo bila picha ni Uzushi😃😃

Siku ya jana nilianza na Mr Devil

Tokeo ni kama hili hapa
Screenshot_20250504-154524.png


Leo nikacheza na Master of Haram Football... NEGAN
Usipocheza Haram Football hapa hutoboi😃😃maana hata magoli yenyewe nimefunga ya papatu papatu
Screenshot_20250504-145043.png


Baadae nikaja kwenye mtani wangu wa siku zote wewe hapo
Kijana wa Gasperini mwenyewe

Nilisema mchezo wangu na wako smart assist ndo inanifanya kila siku nastruggle leo nikawasha and nilikuwa nangojea moment hii😃😃😃

Hii match imekuuma mno😃😃😃ila ndo hvyo kaka pole
Screenshot_20250504-141021.png

Nyingine hizi hapa
Screenshot_20250504-143008.png
Screenshot_20250504-144917.png
Screenshot_20250504-151605.png

Screenshot_20250504-153433.png



Ila ukwel game zako leo tumesumbuana hata kama nimeshinda nimehangaika sana na Drogba wako

Eniwei sijalipa kisasi bado unaongoza ulishanipiga sita hicho siwezi kulipa🙌🔥

Nilud sasa kucheza kawaida niachane na smart assist
 
Okay kauli mbiu ni matokeo bila picha ni Uzushi😃😃

Siku ya jana nilianza na Mr Devil

Tokeo ni kama hili hapaView attachment 3324421

Leo nikacheza na Master of Haram Football... NEGAN
Usipocheza Haram Football hapa hutoboi😃😃maana hata magoli yenyewe nimefunga ya papatu papatu
View attachment 3324423

Baadae nikaja kwenye mtani wangu wa siku zote wewe hapo
Kijana wa Gasperini mwenyewe

Nilisema mchezo wangu na wako smart assist ndo inanifanya kila siku nastruggle leo nikawasha and nilikuwa nangojea moment hii😃😃😃

Hii match imekuuma mno😃😃😃ila ndo hvyo kaka pole
View attachment 3324428
Nyingine hizi hapa
View attachment 3324429View attachment 3324430View attachment 3324431
View attachment 3324427


Ila ukwel game zako leo tumesumbuana hata kama nimeshinda nimehangaika sana na Drogba wako

Eniwei sijalipa kisasi bado unaongoza ulishanipiga sita hicho siwezi kulipa🙌🔥

Nilud sasa kucheza kawaida niachane na smart assist
Duh umembutua 😃
 
Umejua kuninyoosha leo 😂.
Game ya mwisho ulipoa kabisa nikaona hata mchezo wako unawaza tu game iishe... Nikasema leo atakimbia huyu... Nalud nakuta Umeshabonyeza ready isingekuwa chaji leo tungecheza mpk saa moja umekataa kabisa kama nimekuzidi leo,😃😃😃
 
We acha tu mkuu 😂, anaziba njia mkuu sijui kajifunzia wapi, anapiga mashuti balaa 😂.

Ataleta tu matokeo hapa huyu mpinzani wangu furaha yake ni kunifunga na leo kafanikiwa, sijui analala anacheza game huyu 😂.
Nilisema 4312 kuna kitu inaninyima

Hapa nakomaa na hii 4222 mpk ikae😃😃😃
 
Game ya mwisho ulipoa kabisa nikaona hata mchezo wako unawaza tu game iishe... Nikasema leo atakimbia huyu... Nalud nakuta Umeshabonyeza ready isingekuwa chaji leo tungecheza mpk saa moja umekataa kabisa kama nimekuzidi leo,😃😃😃
Kuna muda nilikuwa nikitoa boko tu basi sikabi tena nahisi ulikuwa hujaotea maana ingekuwa faida sana kwako 😂.
 
Back
Top Bottom