Edward Lowassa aumbuka Arumeru Mashariki






Utawasikia vibaka,wajinga,vichwa maji,wahuni,wazembe na wenyevitambi vya muda. Wakisema EL nikiongozi safi na anafaa kwa mstakabali wa taifa.hii ni aibu tena kubwa tukisema fisadi mnainuka na computer zeni za hisani eti leteni ushaidi. Nyie vibaka mtauwa taifa semeni ukweli siku zote EL ni FISADI.
 
TBC wametangaza kwenye taarifa ya habari ya mchana wa leo, ni kweli wapo rumande hao jamaa
 
Pamoja na kwamba MOD hawaweki post muhimu ili zichangiwe,hii ya leo ni barbar,nilipata kusema EL URAIS KWAKE NI NDOTO DHIDI YA Jk1 team.RUSHWA NI MWIKO KWA MWANATANU.
 
Pamoja na kwamba MOD hawaweki post muhimu ili zichangiwe,hii ya leo ni barbar,nilipata kusema EL URAIS KWAKE NI NDOTO DHIDI YA Jk1 team.RUSHWA NI MWIKO KWA MWANATANU.
Sio kazi ya Mods kuleta topics za kuchangiwa bali ni kazi ya members wote, pili unapoongelea rushwa Jakaya Kikwete huwezi kumtoa katika watoaji na wapokeaji rushwa, tatizo ninaloliona hapa wengi siasa hizi za kimagumashi mnajifunzia humu JF lakini hamjawahi na hamtawi kuingia kwenye Battle ground.
Kwikwete hana credibility yeyote ile kumnyooshea kidole yeyote ndani ya CCM kuhusu rushwa, kila mtu makini anajuwa Kikwete aliingizwa madarakani na kundi lake la mtandao kwa nguvu ya Pesa chini ya majemedari wake Rostam Aziz na Lowasa not otherwise.
 
Poltics za kihun hzo, hao takukuru wamepewa meno ya kung'ata hvo na nan?Magamba bhana
 
Na hii kitu ndio inanitia woga sana kuwa 1. kweli serikali iliyopo madarakani ina nia ya dhati kupambana na rushwa na 2. iwapo kweli mchakato wa kumpata mgombea urais 2015 utahuwa huru na wa haki
 

Charade Game.
 
Mkuu Paulss

Hii habari nimeinyaka kabla sijaingia JF toka kwa jamaa ambaye hajawahi kushika key board maisha yake yote.Mji wa Arusha ni mdogo sana jambo zito kama hili linaenea kila kona kwa muda mfupi.


Pamoja JF kujulikana kama Home of Great Thinkers lakini nasikitika sana inapotumiwa kama sehemu ya propaganda
Sitaki kusema mengi lakini sijona hata mtu mmoja kujaribu kudadisi hii habari inaukweli kiasi gani, kila mtu anrukia kwenye hitimisho tu
 

yes thank you kikwete, umeamini rafiki yako sio mtu? Nafanya sherehe leo yakipeke yangu maana mwisho wa lowasa umekuwa dhah
 
SIASA ZA MAJI TAKA HIZI,HAKUNA MWANASIASA BORA TZ KAMA MAMVI NA NEPI NA UNYe
 

Hapo kwenye red inathibitisha tena kwamba wabunge wengi wa CCM kumbe wanachaguliwa kabla ya kura!!!! tena kibaya zaidi, na serikali ya CCM!!!

kwa namna hii wote wawili wamepoteza sifa za kuwa wagombea safi

KWELI MWIZI AKIIBIWA NI BALAA!!!

TUNAYOYAONA ARUMERU YANATHIBITISHA KWAMBA CCM HAINA SIFA TENA ZA KUSIMAMIA MAADILI KWA WATANZANIA
 

Inawezekana wakati J. Kikwete anakuwa rais aliingia kwa njia hzo lakin hapakuwa na sheria ambayo ingesaid4a yeye kuwa Rais pasipo rushwa! Lakin uwenda hakukuwa na njia nayeye hakupenda amekuwa rais anataka kujenga msing bora usio kuwa unaleta viongoz kwa njia ya kifisadi. So Kikwete ni msafi na mwisho wa yote ataleta haki ktk kumpata Rais 2015.
 
Ngongo ivi wewe ni cdm, ama ccm,coz michango yako humu haijengi upande wowote
Si kweli kuwa Ngongo hana upande navyojua mimi yuko upande wa Batilda au anzisha thread ya Lema uone upande wake, hahahaa.
 
Watu wa Lowassa mtauma na kusaga meno mwaka huu, ule mpango wenu kuchukua nchi hautafanikiwa maana sasa hivi hata Chadema kuna mapandikizi wa Lowassa. Vita ya kisiasa nchini imegeuka kuwa baina ya Lowassa na JK hata ndani ya vyama, tunajua vizuri sana. - MIAFRKA NDIVYO TULIVYO...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…